Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
chama gani upo nikuunge mkono my dia maana cna chama
Ni cdm mpz! Umesha niandalia mkao mza!
chama gani upo nikuunge mkono my dia maana cna chama
Ni cdm mpz! Umesha niandalia mkao mza!
baby unacheka kama kunguru! Hahahaa!!!!!
namtafuta 'Valentina' umenionea wapi?
Weeee...ishia hapo hapo
punguza ukali..kizuri ule na mwenzio..
ni pm....Poa ntakupataje
punguza ukali..kizuri ule na mwenzio..
ni pm....
Sasa mbona huniambiiii
ah... sisi ndio wenyewe, ukileta mchezo nitakupiga shaba!naenda kusema kwashem.baba riz atakubabusea shauri yako hawa wanafunzi huach?
Hii Kali , mgeni unamkaribisha mwenyeji au ndio multiple idsKaribu sana mrembo, kuwa na mimi achana na hawa wababaishaji
wewe nani kakwambia mimi mgeni humu? kwani ww unamjua kila mtu aleoko humu?Hii Kali , mgeni unamkaribisha mwenyeji au ndio multiple ids