Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Hakuna wa kunikagua
Kukaguliwa ni lazima na hakuna option ya kuchagua mkaguzi!
Mbona ulisema wewe ni mtiifu!?
Hakuna wa kunikagua
Mpaka budege unajua? Sikuwezi
Kukaguliwa ni lazima na hakuna option ya kuchagua mkaguzi!
Mbona ulisema wewe ni mtiifu!?
umefufukia wapi jamani nimeishakutafuta mpaka basi
hahaha...... Hivi unadhani nilizaliwa huku Singapore????
Hahaha sasa njoo wewe nikukague sasa nipo Na vifaa vyangu vua viatu mkanda kofia Na koti kazi ianze hapa ukaguzi hazarani
Thanxx
Lady doctor BUDEGE Ni nini
Asantee pia
Acha basi kuniharibia mipango
Kwa niaba ya mke wangu Lady doctor naomba kukujibu kuwa BUDEGE ni changanyikeni.
Nipo switii! Nilikuwa natetea msimamo wa chama kule kwenye jukwaa la stress!
Anytime dear....what about a drink?