M Mzaa chema Member Nov 11, 2010 20 0 Nov 13, 2010 #1 Nilikua nafuatilia jf kwa karibu, imenipendeza nijiunge, ila wadau, mnanishauri nianze na topic gani inayopendwa humu
Nilikua nafuatilia jf kwa karibu, imenipendeza nijiunge, ila wadau, mnanishauri nianze na topic gani inayopendwa humu
TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Nov 13, 2010 #2 Tupo kisiasa zaidi mpaka jk atakapo maliza mda wa uwozo wake.
M Mzaa chema Member Nov 11, 2010 20 0 Nov 13, 2010 Thread starter #3 politics is a dirty game dont get involved 2much. for your health
YeshuaHaMelech JF-Expert Member Oct 12, 2010 2,597 37 Nov 13, 2010 #4 Karibu! Anza na Majukwaa ya Elimu, Sayansi na Tech, Sheria!
M Mzaa chema Member Nov 11, 2010 20 0 Nov 13, 2010 Thread starter #5 Thanks yeshua for warm welcom, nimeigia hapa jf naona watu wamelewa chakari, pombe mbaya sana ya POLITICS.mpaka wanacora ramani (wanapepesuka) What the hell is this !
Thanks yeshua for warm welcom, nimeigia hapa jf naona watu wamelewa chakari, pombe mbaya sana ya POLITICS.mpaka wanacora ramani (wanapepesuka) What the hell is this !