Hodi wanajamii

Nkanaga

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
653
619
Kwa takribani miaka miwili sasa nimekuwa nikitembelea jukwaa hili kama mgeni, sababu zipo nyingi ila kubwa ni ugumu wa mawasiliano ya intanet kwa maeneo niliyokuwa mwanzo.....pamoja na ugumu huo nimekuwa nikipata muda kiasi kuchungulia yanayojiri jukwaani na hapa nikiri kuwa nimejifunza, nimepata habari na kuburudika kwa nyuzi mbalimbali toka kwa wanajamvi mbalimbali! Hakika Jamii forum ni zaidi. Kwa utambulisho huu naombeni nipokeeni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom