Hodi wana CHADEMA

mawazo mgando kama mtindi maana hauyeyuki
 

Karibu tuikomboe nchi yetu, mfumo kandamizi uliojengwa kwa miaka mingi kuondoa ni gharama, wakati mwingine hizo gharama huwa hata maisha ya watu, ndiyo maana ccm wanatumia nguvu nyingi kuichafua cdm badala ya kuleta maendeleo. Karibu tushindane nao kwa hoja na siyo hila na kama wao wanavyofanya.
 
Sasa sis majo ushapatiwa kadi? Halafu utunze kitambulisho chako chakupigia kura vizuri.

Usisahau kumwambia baba nae hii nisaa ya ukombozi arudi kundini.

wazazi wote 2015 npo nao mstar kuhakikisha tunapiga kura na nina jopo.la watu ambao ninahakika wataniunga mkono pia.npo.kwenye mchakato wa kupata kadi
 

asante ndugu sitawaangusha hadi kufikia hapa nimejitoa dhabiti kuhakikisha jamii inayonizunguka hayufanyi makosa 2015
 
Last edited by a moderator:

Amina ndugu yangu Mungu mwema saa ya ukombozi itatujia.
 
nenda uwe gaidi baada ya rwakatale na upewe dili la kuua kwa stmu kama ben saanane na ujifunze kuwa kigeugeu kama slaa

maisha ni uchaguzi na nani awe nani na kwa nini ni uchaguzi pia.maamuzi yako ya sehem ulipo na sababu za kuamua uwepo ni ya kwako binafsi please siasa c ugomvi heshim maamuz yangu pia kwani hayakuaffect popote
 
Jihadhari na watu wanaoligawa taifa katika misingi ya udini, ukanda na ukabila!!!... Usivunjwe moyo na hoja za watu hawa.. Amini usiamini wanalipwa pale LUMUMBA kufanya kazi hii!!!...

mi nashangaa kila mtu anaamua wapi awe na.kwa nn ili mradi huvunji sheria.nina msimamo sana nimeamua sirudi nyuma zaidi ya kujifunza zaidi nilipo
 

nimejipanga kukabiliana na hayo asante.
 

Utaipotosha familia...
 
nn maana ya siasa?siwezi rudi nyuma trust me ntajifunza ntasimama ila kwa mtoto wa mkulima kama mimi ccm si pangu
Siyo lazima uende CCM kuna vyama vingine vingi tu. CUF,UDP, Chausta nk nk. Tumia akili yako kwa ukamilifu pata habari ya vyama vingine ndiyo uamue. Nani kakwambia CDM ni chama cha watoto wakulima?? Tuliza akili bora ubakie kuwa shabiki tu wa CDM kuliko kuingia uananchama wa chama ambacho hujapata taarifa zake muhimu :A S shade:
 
wewe umesma vyote hvo au unapga filimb t
Sijamaliza ndiyo maana si mwanachama wa chama chochote. Kama nawe umeingia uanachama kwa sababu ya kufuata upepo tu hujaitendea haki akili yako uliyopewa. Bora kuitwa shabiki kuliko kuitwa mwanachama usiojua chochote kuhusiana na chama chako:A S shade:
 
Wew umefuatilia hivyo vyote kwa huko uliko?
Khaa!! mie nimempa mwelekeo mzuri wa kufanya maamuzi mazito kama hayo. Sasa kuhusu mimi kama nafuatilia hivyo inakuhusu nini wewe? kama nafanya zaidi ya hivyo? Dont judge me.. judge my ideas!!!!:A S shade:
 
cna pa kurudi kwan ndo nimeamua kuwa chadema.kwan ckuwa mwanachama wa chama chochote
usiwe na papara kuwa shabiki tu kwanza kisha anza kujifunza ndiyo ufikie uamuzi. Ukifanya uamuzi wa harakaharaka leo utaitwa kamanda, jembe, mpini nk lakini kesho utaitwa majina kama kilaza, dada poa wa kisiasa nk nk. Nenda kaulize wenzio
 

Alafu wewe unahistoria inafanana na vijana wengi nikiwemo miye katika siasa zetu. Embu tupange mikakati yakumuingiza ikulu huyu mtetezi wawanyonge jmn
 
usiwe na papara kuwa shabiki tu kwanza kisha anza kujifunza ndiyo ufikie uamuzi. Ukifanya uamuzi wa harakaharaka leo utaitwa kamanda, jembe, mpini nk lakini kesho utaitwa majina kama kilaza, dada poa wa kisiasa nk nk. Nenda kaulize wenzio

Hata MASALIA kama wewe ulipofikia sasa, lakini unakuwa ni wewe mwenyewe umejitengenezea
 
nenda uwe gaidi baada ya rwakatale na upewe dili la kuua kwa stmu kama ben saanane na ujifunze kuwa kigeugeu kama slaa

Akiwa kibaka wa simu asubirie kuvishwa matairi tu. Embu mpe uzoefu huo Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…