Paka Magawa
Member
- Feb 7, 2022
- 10
- 8
Naomba mnipokee wana JF
Nimeshakaribia 🙏🙏Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Nimeshakaribia 🙏Karibu
Shukran mkuu🙏Kila la kheri...
Nimeshakaribia 🙏Karibu sana JamiiForums...
Nimekuwa visiting member wa kitamboUlikua unatumia ID gani?
kamba yako ya mguuni unayo? kama unayo pita hadi ndani.Naomba mnipokee wana JF
🤔kamba yako ya mguuni unayo? kama unayo pita hadi ndani.