Hodi Mwanza

Hodi Mwanza

Nikienda mwanza utanipa no auntie ujue nina safari ya mwanza maswali sitaki

Usitake kujua nimecheka namna gani Auntie...

Namba nitakupa Auntie.. usiwaze..Na maswali yangu yanafuata soon..Najua utaniambia tu
 
Unaposema "mzee mwenzangu" unamaanisha wewe una uzee wangu?
Acha kunichoea basi we binti
Umri unaenda Mzee Mwenzangu....
Kuna mambo yanakuja, kuna mambo yanaondoka

If you know... you know
 
Ha ha ha ha...
Ndiyo niseme Public namna hii kweli Eroni?

Privacy ni muhimu We'Mzee
Mimi najua yamekuja mapya mazuri na yameondoka mabovu ya zamani..😀😀

Yote ni heri vile umekuwa kabinti kakubwa...teeeena, wanasema mvinyo wa zamani ndio mtam zaidi😝🤪
 
Back
Top Bottom