jamani hodi, tena hodi, nipokeeni basi jamani wenye mpoooooooo?? hodi mpaka ndani mbona kimyaaaa he! haya me ndo nakaa kwenye mkeka hvo nasubiri wenyeji.
Karibu ila mwendo punguza maana waweza jikuta chumbani atiii wakati......karibu sana kwenye kisima cha mawazo mbadala na usilete mambo ya mwembe mawazo chumbageni Tanga mpaka story za mama nanihii na baba nanihii wanavyopiga kelele usiku wakati wakiwa wanatafuna muwa. KARIBU
jamani hodi, tena hodi, nipokeeni basi jamani wenye mpoooooooo?? hodi mpaka ndani mbona kimyaaaa he! haya me ndo nakaa kwenye mkeka hvo nasubiri wenyeji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.