Hodi MABIBI na mabwana

Hodi MABIBI na mabwana

Joined
Jul 13, 2011
Posts
48
Reaction score
14
Shalom

Kwa Upendo Mkubwa naomba kuwa Mwanajamii Mwenzeni, Mnipokee mnitunze na Tushirikiane Pamoja

Asanteni sana
 
Karibu karibu. Mbona mabibi iko kwa capital letters? Au ndio tabia kama username yako...
 
Gender Balance ndugu yangu hawa Wenzetu wako Sensitive sana inabidi wapewe Praiorite kila Sehemu. Ila Asante kwa Ukaribisho wako

Ume-assume haraka kuwa mimi ni mwanaume... sisemi kama umekosea ila hapa JF wengine gender zetu hazijulikani so uwe makini. Karibu tena
 
Ume-assume haraka kuwa mimi ni mwanaume... sisemi kama umekosea ila hapa JF wengine gender zetu hazijulikani so uwe makini. Karibu tena

Ha ha ha inaonekana wewe ni Mdadisi sana KAMA jina lako. Asante sana kwa Kunirekebisha hapo nilipokosea
 
unamaanisha wewe ni dr. Alafu unapenda pimbi? Samahani nime qualify kuwa mkalimani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom