Hodi JF

Dubo

JF-Expert Member
Aug 16, 2010
322
17
WanaJF naomba mnipokee jamvini nimerudi nikitoka kifungoni nikiwa mpya na mawazo ya kujenga nchi yetu tu. Wale wote niliyowakosea/kuwakwaza kutokana na michango yangu kipindi cha nyuma, naomba mnisamehe. Pamoja tutajenga Tz yetu.



M/Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom