Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana wa mtandao jamii huu,na nimefurahishwa na kurasa zake, hivyo leo naomba kupokelewa kwani ndio nimejiunga leo japokuwa mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wakubwa na wa zamani wa taarifa za humu.jamani naombeni tudumishe fikra za wapenda maendeleo na tuwe na mtazamo wa mafanikio zaidi.
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''
hii si sehemu ya kupigia hodi...
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana wa mtandao jamii huu,na nimefurahishwa na kurasa zake, hivyo leo naomba kupokelewa kwani ndio nimejiunga leo japokuwa mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wakubwa na wa zamani wa taarifa za humu.jamani naombeni tudumishe fikra za wapenda maendeleo na tuwe na mtazamo wa mafanikio zaidi.
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''
wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.
hii si sehemu ya kupigia hodi...
wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.
wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.
mkuki moyoni
Join Date : 29th April 2011
Posts : 42
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
mbona Ng'wanangwa ametoa ushauri tuu kuhusu .... wewe pia ni mgeni tena umejiunga juzi ...haujui hata sheria za humu jf ..kuna jukwaa mahsusi la member introduction ..... huku ni kudandia gari kwa mbele ....hata membership status yako haijabadilika halafu unandika lugha za kebeli kwa wenzako
mods ban this idiot