Ntu Mpyaaa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 970
- 1,773
Marhabaa.... karibu sana mgeni mwenzangu,
mi ni kaka yako bana maana jina la baba yako linafanana la hayati mshua.
mi ni kaka yako bana maana jina la baba yako linafanana la hayati mshua.
dah! Naona JF nimepata rafiki ninayefanana naye... Mi mwenyewe baba yangu yuko anacheza na malaika huko mbinguni (R.I.P Our dads)Marhabaa.... karibu sana mgeni mwenzangu,
mi ni kaka yako bana maana jina la baba yako linafanana la hayati mshua.
dada angu unazingua ngoja nikuwee kwa avatarKaribu
Jinsia yako tafadhari
pamoja mkuuKaribu mkali
Nazingua ninidada angu unazingua ngoja nikuwee kwa avatar
kwan jina halioneshi jinsia¿Nazingua nini
Karibu sana JamiiForums...Karibu sana, mimi pia nina just 3weeks nimejoin humu, nilikuja na stress kibao ila wenyeji wamenipamper sana niko okay now. Jiskie okay kbsa ni sehem salama🫶🏼👍🏽
Yeah yeah yeahDogo karibu humu ni full respect View attachment 3570315
Aseme bia tumpe soda hapana hakuna mizinga ya nyuki humuView attachment 3570596
Unatumia kinywaji Gani tafadhali?
Huyu sijui kama sio graduateAseme bia tumpe soda hapana hakuna mizinga ya nyuki humu
Mkuu sijakuelea. Ndo umenikaribisha, umenipoeaa....
Umenipoeaa ndio kufanya nini?Mkuu sijakuelea. Ndo umenikaribisha, umenipoeaa....
huyu utamzoea ni kiongozi humu kwaiyo utamuona sanaMkuu sijakuelea. Ndo umenikaribisha, umenipoeaa....
DerickSeran... Derick yupi¿ nina kaka mtoto bamkubwa. Ila hatujuani namjua kwa jina tu.