nashukulu sana kwa wote mliotoa michango yenu japo kuna mmoja alitaka kujua ni mke ,mchumba au mpenzi? mimi niliweka yote haya makundi makusudi ilinione michango itakuwa vipi lakini kiukweli ni MKE ndiye aliyefanya hilo kosa na simara ya kwanza alishafanya hivyo mume akamsamehe lakini imejirudia na kila akiulizwa hatowi sababu za msingi kwa nini anayafanya hayo kiasi kilichopelekea kuona labda nililete hapa javini kupata mawazo inakuwaje ? na kwa mara hii mume ameamua waachane yeye anadai kujiuwa kama atamuacha na wana mtoto mmoja kwa hali hii nini akifanye kwa wazoefu wa ndoa naomba mawazo yenu zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.