Hodi hodi wana MMU...

Hodi hodi wana MMU...

.ngoja kwanza ile team ije wakukague kwanza, then tutapa sababu za kusema karibu..afu yaani PM 2/3 za window7 unaziita changamoto ngoja waje wawindaji wenzie nakwambia utaomba Oparesheni maliza majangiri ipite mitaa hii..
 
.ngoja kwanza ile team ije wakukague kwanza, then tutapa sababu za kusema karibu..afu yaani PM 2/3 za window7 unaziita changamoto ngoja waje wawindaji wenzie nakwambia utaomba Oparesheni maliza majangiri ipite mitaa hii..
Mkuu utanivunjia ndoa ona sasa kichuna wangu mango g kasikia niko huku
 
Last edited by a moderator:
loh! windo naota! au kwl? yan mm hujawahi kunikaribisha pm hta cku1! kwl ww jamvi la wagen

Nilikua najaribu kumuelekeza masaa kua muda ule ilikua ni pm sio am bebii... Nakuahidi hapa sirudi tenaaa.. Njoo pm basi kichuna wangu 😛oa
 
Karibu sana .........

Usisahau kumuona Ennie akulete parokiani!
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana .........

Usisahau kumuona Ennie akulete parokiani!

Dah! parokiani kwa mzee wa upako?? a.k.a...............................
by the way asante sana nitakaribia Ennie akikubali kunileta
 
Dah! parokiani kwa mzee wa upako?? a.k.a...............................
by the way asante sana nitakaribia Ennie akikubali kunileta

Nope ....
Huku ni parokiani kwangu

Huko ukija utakuwa salama kabisa
Na utaweza kuepukana na akina bazazi Mentor ......!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom