Kikamavu naingia, salam wafamilia,
mengi ninayo semea, ya chombo hiki murua,
Nyingi pongezi pokea, Kwa yote mliyofikia,
sasa mefika wasaa, naomba yenu ridhaa
Karibu sana! Nimependa utenzi/shairi lako!
Ahahahahaaaaaah kwa staili aliyokuja nayo akikaribishwa chumbani ataharibu hali ya hewa.Duh!Leo hutaki kukalibisha wageni mbaka chumbani kama kawaida yako!
Karibu sana! Nimependa utenzi/shairi lako!
Nashukuru sana Gaijin..........nimejikuta napendelea sana kushinda katika hili jukwaa!!!!!Katavi
Nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya ya kukaribisha wanachama wapya.
Si wengi wanaokuja bila ya makaribisho kutoka kwako.