hakuna mademu hapa
rudi huko huko ulikotoka
huna a.d.a.b.u
mimi ni mgeni jf natafuta demu awe mpenzi wangu kwenye simu tu
kongosho!
huwezi ita bibi zako, mama zako, dada zako mademu
akaribie hapa
ila lugha hizo aache huko huko
mimi ni mgeni jf natafuta demu awe mpenzi wangu kwenye simu tu
Kwa hiyo umesikia hapa ndio kwa kutafuta mademu?! si bure unawashwa wewe!
MP.
Piga 0713-800 800mimi ni mgeni jf natafuta demu awe mpenzi wangu kwenye simu tu
Yan hili jamaa ni likilaza kabisaaaaaaa halina hata aibu fuuuuuuuuuuuuuuuuuuuKwa hiyo umesikia hapa ndio kwa kutafuta mademu?! si bure unawashwa wewe!
MP.
Hawa vifaranga ndani ya jf wanatafuta nini?
alipokuwa anajiunga JF...............si aliambiwa kabisa hapa ni 'THE HOME OF................???????!!!!'wanatafuta mamazao wawakumbatie, baridi imeanza...
umekula bange au?source:smile.
Piga 0713-800 800
nilipoona tu maprosoo umejibu nikafungua fasta...
aaaah sasa mbona umempendelea hako katusi hapo mwishon???mpe lile lenyewe akae chini...
puuuuu...
Yan hili jamaa ni likilaza kabisaaaaaaa halina hata aibu fuuuuuuuuuuuuuuuuuuu