je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,879
- 3,617
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana ninayesaka fursa kutoka mkoa wowote ule ili mkono uende kinywani.
Nimekuja kwenu leo kuuliza fursa zinazopatikana Mbeya ili niweze kuziendea.
Naombeni ushirikiano wenu watu wa Mbeya au mtu yeyote aliye na fursa ambayo tutaweza kufanya kwa pamoja na kutusua katika maisha haya ya awamu hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja kwenu leo kuuliza fursa zinazopatikana Mbeya ili niweze kuziendea.
Naombeni ushirikiano wenu watu wa Mbeya au mtu yeyote aliye na fursa ambayo tutaweza kufanya kwa pamoja na kutusua katika maisha haya ya awamu hii.
Sent using Jamii Forums mobile app