Hodi Hodi: Full stack programmer

Hodi Hodi: Full stack programmer

Hivi ni lazima kusoma hizo language zote? Je language moja pekee e.g python haitoshi kufanya vyote?
Hapana sio lazima kujua language nyingi. Ni vizuri ukaimaster language moja kwanza then ukaifanyia kazi.
Au kama utataka kujifunza kitu kingine ambacho kitahitaji uijue language fulani, basi huo ndo utakuwa muda sahihi wa kujifunza language mpya ili uanze kuifanyia kazi.

Uzuri wa programming languages ni kwamba concepts ni zile zile kinachobadilika ni syntax tu so kama umemaster language moja ni rahisi sana kujifunza language nyingine.
Ila ukirundika language nyingi bila kuzifanyia kazi unakuwa unapoteza muda tu.
 
eniwei, mi bado diploma safari ni ndefu....
Safari haitakuwa ndefu kama utaanza kupiga pindi lako wewe kama wewe.

Mimi ni mwanafunzi wa level ya certificate ila ni full stack web developer na sasa hivi napiga mobile app development kwa flutter.

Nimejifunza HTML, CSS, JAVASCRIPT, PYTHON, DART, REACT JS, REACT NATIVE (Kidogo), NEXT JS, NODE JS, EXPRESS JS, MONGO DB, USER AUTHENTICATION, CRUD OPERATION & FLUTTER.

Project yangu ya kwanza: 👉 Home
 
Haya programmer, tunaomba github account yako tukacheck public repositories ili tuthibitishe haya uliyoyaandika hapa
 
Hapana sio lazima kujua language nyingi. Ni vizuri ukaimaster language moja kwanza then ukaifanyia kazi.
Au kama utataka kujifunza kitu kingine ambacho kitahitaji uijue language fulani, basi huo ndo utakuwa muda sahihi wa kujifunza language mpya ili uanze kuifanyia kazi.

Uzuri wa programming languages ni kwamba concepts ni zile zile kinachobadilika ni syntax tu so kama umemaster language moja ni rahisi sana kujifunza language nyingine.
Ila ukirundika language nyingi bila kuzifanyia kazi unakuwa unapoteza muda tu.
Asante sana mkuu.

Ukiandika program kwa python, kwa mfano: "program inayoweza kutuma email, au sms kwenye simu yako kila ikifika jumapili saa 4 usiku".

Ni kipi kinafuata ili iweze kufanya kazi automatically?( Nini kinafuata baada ya kumaliza kuedit script nzima)
 
Huna tofauti na mimi assignment yenyewe kufanya shida hahaha
Sema tukomae tu tujiajili baadae
Boredom, ni tatizo la kisaikolojia na inahitaji kujitibu. Njia moja wapo hasa kwa kujisomea na kujikumbusha take a small piece and then add volume slowly slowly.
Njia ya pili Chagua maeneo unayoyapenda na develop interest, mfano mada unazozipenda.
Tatu understand your learning style.
Bookish ,video,text,picture au combination of all.
self study vs group study.
Sasa kuna teknolojia nyingi sana, apps,BOT, you tube,podcast, audio lecture,video nk.
Ukiona haujachekewa drop out na anza kitu kingine.
Kumbuka wengi sisi waafrika husoma kwa shinikizo la hupata kazi hivyo huchagua kozi kwa mkumbo, halo hii huwaathiri watu wengi sana baadae na kukosa furaha ya maisha. Nyie kama vijana hmjachelewa mnayo nafasi ya kubali mambo hata kama mtamaliza hio kizi na baadae kusoma/kujifunza hoby zenu.
Sisi wengine tumekuwa bored na kazi tulizofanya muda mrefu, nimchakato mgumu sana kubadili kazi wachache hufanikiwa ila masomo ni rahisi.
Huyo mtu alieanza kusoma programming akiwa na miaka 13 lazima awe bored, ameisha poteza hamu, hana jipya analojifunza, hi ipo sawa na akina BillGate walijikuta what professor is teaching is not new and it us shallow, wakaamua kuacha.
 
Boredom, ni tatizo la kisaikolojia na inahitaji kujitibu. Njia moja wapo hasa kwa kujisomea na kujikumbusha take a small piece and then add volume slowly slowly.
Njia ya pili Chagua maeneo unayoyapenda na develop interest, mfano mada unazozipenda.
Tatu understand your learning style.
Bookish ,video,text,picture au combination of all.
self study vs group study.
Sasa kuna teknolojia nyingi sana, apps,BOT, you tube,podcast, audio lecture,video nk.
Ukiona haujachekewa drop out na anza kitu kingine.
Kumbuka wengi sisi waafrika husoma kwa shinikizo la hupata kazi hivyo huchagua kozi kwa mkumbo, halo hii huwaathiri watu wengi sana baadae na kukosa furaha ya maisha. Nyie kama vijana hmjachelewa mnayo nafasi ya kubali mambo hata kama mtamaliza hio kizi na baadae kusoma/kujifunza hoby zenu.
Sisi wengine tumekuwa bored na kazi tulizofanya muda mrefu, nimchakato mgumu sana kubadili kazi wachache hufanikiwa ila masomo ni rahisi.
Huyo mtu alieanza kusoma programming akiwa na miaka 13 lazima awe bored, ameisha poteza hamu, hana jipya analojifunza, hi ipo sawa na akina BillGate walijikuta what professor is teaching is not new and it us shallow, wakaamua kuacha.
Point kabisa mkuu
 
Tuwekee projects zako hapa itakuwa vizuri zaidi. Pia kama unatengeneza software nadhani ni vizuri ujiite developer na sio programmer
Duu kazi ipo, kwani nini maana ya programmer? Ukijibu hilo swali halafu angalia na ulichokiandika hapo.
 
Wana Tech Kwema?

Mimi ni full stack programmer
Nafanya Web, na Mobile

Nafahamu languages zifuatazo
1.PHP
2.Javascript
3.Java
4.Kotlin
5.mysql
6. Na kidogo flutter
Mimi sio mzuri Sana kwenye CSS

Nafahamu frameworks zifuatazo
1.laravel and Codeigniter
2.Spring
3.express js
4.jquery
5.Na kidogo React Native.

Programing ni rahisi ukiwa na Nia.

Nitakuja kuelezea in and out about Programming

Coding for life.
Habari kiongozi niko mwanza nawezaje kuwa karibu na wewe
Wana Tech Kwema?

Mimi ni full stack programmer
Nafanya Web, na Mobile

Nafahamu languages zifuatazo
1.PHP
2.Javascript
3.Java
4.Kotlin
5.mysql
6. Na kidogo flutter
Mimi sio mzuri Sana kwenye CSS

Nafahamu frameworks zifuatazo
1.laravel and Codeigniter
2.Spring
3.express js
4.jquery
5.Na kidogo React Native.

Programing ni rahisi ukiwa na Nia.

Nitakuja kuelezea in and out about Programming

Coding for life.
Nahitaji uelewa zaidi niko mwanza nakupataje
 
Wana Tech Kwema?

Mimi ni full stack programmer
Nafanya Web, na Mobile

Nafahamu languages zifuatazo
1.PHP
2.Javascript
3.Java
4.Kotlin
5.mysql
6. Na kidogo flutter
Mimi sio mzuri Sana kwenye CSS

Nafahamu frameworks zifuatazo
1.laravel and Codeigniter
2.Spring
3.express js
4.jquery
5.Na kidogo React Native.

Programing ni rahisi ukiwa na Nia.

Nitakuja kuelezea in and out about Programming

Coding for life.
language zote zako mzee umekua machine
 
Tatizo hapa unaandika alafu mtu na yeye anakuja kuandik kama unafahamu anzisha Uzi wako
 
Back
Top Bottom