Wakuu naomba mruhusu nijumuike na nyinyi katika forum hii. leo ndio mara yangu yakwanza,,
Asante mkuu naomba ushirikiano wakoKaribu mkuu upumzike
Ntajitahidi mkuuKaribu Mkuu na uwe kweli a great one tafadhali
Kaka hapa point tu umbea sahau kabisakaribu kijana, jiandae kuwa critcal. sawa?umbea mwiko.
Thanx kaka ndionazisoma sasa hivi.karibu sana ingia hapa pia JamiiForums Disclaimer and Rules
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us