Hlia halisi ya vyuoni

Hlia halisi ya vyuoni

Ni kawaida mkuu! Huwa wanaajiri kulingana na uhitaji lakini pia kulingana na bajeti iliyopo serikalini maana nao huwa wanaomba vibali vya kuajiri ndio waweze kuajiri!
Na hizi ajira za wakufunzi huwa hazifanyiki kila mwaka kwa kutangazwa kama ilivyo zingine sometimes wanaweza kuajiri kimya kimya kwa kuona labda kuna mtu wanamwitaji hivyo wakamuombea kibali cha kumwajiri kimya kimya bila kutangaza mlio nje ya mfumo mkaona fulani yupo chuo anafundisha!

Lakini hoja kubwa tangu mwaka jana ilikuwa kusimamishwa kwa ajira nadhani wakipewa kibali cha kuajiri wataajiri tu!
Ngoja tuendelee kuzisubiria
 
Ajira zilikua zimefungwa babu..

Kama UDSM (Chuo kikuu cha Tanzania) kimestop kuajiri sembuse hivi vyuo vingine Takataka!!!
Maana vyuo vingine huwa wanaiga kila kitu kutoka UDSM.
Wasikia UD inaajiri, na wao matumbo mbele kutangaza ajira!!
Ndio maana nasema vyuo vingine ni Takataka tuu..
Mzumbe, UDOM, DIT, SAUT, SJUIT, IFM, CBE, ARU vyote Takataka tuu...
Kidoogo SUA na MUHAS vina hadhi.
Daaa aseee we kumaaa
 
Ajira zilikua zimefungwa babu..

Kama UDSM (Chuo kikuu cha Tanzania) kimestop kuajiri sembuse hivi vyuo vingine Takataka!!!
Maana vyuo vingine huwa wanaiga kila kitu kutoka UDSM.
Wasikia UD inaajiri, na wao matumbo mbele kutangaza ajira!!
Ndio maana nasema vyuo vingine ni Takataka tuu..
Mzumbe, UDOM, DIT, SAUT, SJUIT, IFM, CBE, ARU vyote Takataka tuu...
Kidoogo SUA na MUHAS vina hadhi.
Nina mashaka na ulichokisomea, then huenda nyinyi ndo mlipataga chuo kupitia wazazi wenu kibashite bashite,. Huwezi Andika usenge huo wa kukejeli vyuo walivyosomea wenzako, Kama sivyo badi ww ulikua limbukeni Sana wa mambo,
Bwege ww na Mxiu.. Uuu
 
Back
Top Bottom