Hizi spana za CHADEMA; ni karma au ni hujuma?

Hizi spana za CHADEMA; ni karma au ni hujuma?

Dr Adam Francis

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
464
Reaction score
687
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe vyote vilitokea tu spontaneously na vimekuwa vikibadilikabadilika kuwa vilivyosasa. Huu upuuzi unapofundishwa, hata ukimtazama usoni mwalimu anayekufundisha, unaona kabisa naye hakiamini anachokufundisha.

Tutafakari; kama vitu kama magari, nyumba, simu na hata viti tunavyokalia, havitokei tu hivi hivi, lazima visanifiwe kwa ubunifu mkubwa na kuundwa kwa ustadi wa hali ya juu, iweje mtu, kiumbe mwenye akili, maarifa na ubunifu wa ajabu namna hii tuamini alitokea tu sijui kutoka kwenye mamyani?

Natumia mfano huu wa EVOLUTION kutathmini yanayoendelea CHADEMA. April 9, mwenyekiti wake alikamatwa akafunguliwa kesi ya UHAINI, May 13 msajili katengua uteuzi wa Sekretariat ya CHADEMA, Mei 27 Msajili kasitisha ruzuku, June 10 mahakuma kuu imetoa amri ya kusitisha shughuli zote za CHADEMA.

Kila nikijaribu kudhani ni mazingira gani yanayoweza kupelekea kadhia zote hizi kuikumba CHADEMA kwa wakati mmoja in such a coordinated manner? Moyo wangu unaniambia EVOLUTION is a LIE. Unahitaji imani ya kuhamisha milima kuamini kuwa matukia makubwa manne kukishambulia chama kimoja yanaweza kutokea spontaneously bila kuratibiwa. Kwa vyovyote vile, kuna mtu au watu nyuma ya hizi kadhia za CHADEMA.

Swali linabaki ninani anayeratibu mpango wa kuhujumu CHADEMA, na ananufaikaje? Je, ni Lembruce Mchome aliyeishtaki CHADEMA kwa msajili? Au ni Saidi Issah Mohammed, Ahmed Rashid na Maulidah Anna Komu walioishtaki CHADEMA mahakamani? Ni Mbowe, maana wote wanaotajwa ni waliomuunga mkono? Ni dola na vyombo vyake au ni wote hawa niliowataja?

Bila kujali nani anahusika na madhila haya ya CHADEMA na ana nia gani, nadhani sote tunakubaliana kuwa hujuma dhidi ya vyama vya siasa zinaua Demokrasi. Siasa zetu zinakuwa na radha pale CCM tunaposhindana na upinzani wenye nguvu, sio huu wa CHAUMA!
 
Ila wamesahau msemo huu, kwamba siyo kila siku ni J'mosi. Wanadhani, mbinu zilizotumika kuiua NCCR na CUF itafanikiwa kwa nyakati na majira haya. Hapa, hizi ni nyakati nyingine kabisa. Utatu hautatumilika. Ni zamu yao kufa...

And we are very aware of their strategies which are coordinated by series of killer events:

1. Tarehe 9/4/2025; EXECUTE STRATEGY #1
• Kamata Mwenyekiti wao Tundu Lissu, tia ndani, bambika kesi kwa kosa lisilo na dhamana. Lipi hilo? Uhaini - treason. Tutamtoa huko akikubaliana Ts&Cs zetu...

LENGO:
√ CHADEMA wajifungie ndani kulia kama ilivyokuwa wakati wa movement ya kudai katiba mpya iliyoongozwa na Freeman Mbowe 2021..

√ Mwenyekiti akawaambia, don't cry for me. Jililieni nafsi zenu, endeleeni na movement ya NRNE. Nitatoka, tutakuwa pamoja, TUTASHINDA.

√ This also shocked them, coz it failed spectacularly. Noises for this, were everywhere in and outside the country

2. Tarehe 13/5/2025; STRATEGY #2
• Msajili wa vyama vya siasa, tumia mamlaka yako. Tafuta mjinga mmoja humo ndani mwao, mpe pesa za kutosha, mwelekezeni vizuri amlalamikie Katibu mkuu wao kuwa uteuzi wa baadhi ya wajumbe wa KK na Secretariate haukukidhi matakwa ya kikatiba. Haijalishi watajibu nini, tumia mwanya huo, tengua uteuzi huo

LENGO:
√ CHADEMA wata - panic na kuanza kukimbizana kujiokoa badala ya kuendelea na kampeni ya NRNE.

√ Iliwashitua sana hawa hayawani because nothing special happened to satisfy their souls. They had to push to execute the next strategy..

3. Tarehe 27/5/2025; STRATEGY #3
• Msajili wa vyama, akafumba macho, akakanyaga sheria, katiba ya nchi na taratibu. Akaamuriwa ku - abuse mamlaka yake.

• Akawa pushed kutekeleza tishio la mkakati wa #2 hapo juu. Kujifanya hatambui viongozi walioteuliwa. Akafanya hivyo..

• Kwa hiyo, akafanya final execution, kwa kusimamisha ruzuku ya TZS 100,000,000+ ya kila mwezi kwa ajili ya chama...

LENGO:
√ CHADEMA izimie roho, waanze kulia kwa kukosa pesa na watasimamisha kampeni yao ya NRNE kwa ukata. Haikuwa hivyo, moto ukawaka zaidi...

√ Wananchi wakasema, sisi ndo ruzuku yenu, CHADEMA ni chama chetu. NRNE ikaendelea kuchanja mbuga ikifagia masalio ya CCM kila mahali.

√ They were completely shocked. Swali likawa, what we have to do now..?

Tarehe 10/6/2025; STRATEGY #4
• Go to the next level of our strategy. Use one of our judge to Stop them 🛑 from continuing with the rallies on NRNE. It happened...

LENGO:
√ Wanadhani wamemaliza kazi. Kazi ya kuieneza NRNE itaishia hapo.

√ They're completely wrong...

√. Mungu wa mbinguni yuko kazini kuikomboa Tanganyika kutoka kwa hawa hayawani toka Zanzibar wakisaidiana na Watanganyika wenzetu wachache, waliokosa uzalendo wa nchi na taifa lao la Tanganyika na badala wanashirikiana na hayawani hawa kuumiza Watanganyika..

ZAMU YA MAPIGO YAO KADHAA INAKUJA KUJIMALIZA. YATAFANYWA NA MIKONO YAO WENYEWE HAWA HAYAWANI..!

• Kila strategy waliyo execute hapo juu, Ina Makosa yaliyosababishwa na Mungu Yehova mwenyewe pasipo wao kujua Ili watu wake Mungu wapate ku - capitalize na kushinda vita hii..

• Ndugu, The Almighty God is at work. He won't allow them to win. Their time in the spiritual realm is over. It's soon going to be justified physically for each of us to see with our naked eyes..

SWALI LAKO NI;
Je, kina
Si Lembrus Mchome
Si Said Issa Mohammed, Maulida Anna Komu, na Ahmed Rashid
Na wala si Freeman Aikael Mbowe ni washirika wa huu mkakati...?

The ANSWER is BIG YES..!!

Si hao👆 tu...

Wengine ni wallioko huko CHAKU - UUMA au CHAUMA tayari...

They're openly saying, tunaihamishia CHADEMA huku - CHAUMA. Hapa wana maana ya ile CHADEMA chafu, corrupt, ya wezi na iliyojaa ulaghai kwa wananchi ndio inahamia huko..

And mind you. Hii si kauli ya kisiasa tu. Ni mkakati halisi unaofadhiliwa na CCM na dola, na ndivyo inavyofanyika...

Kwa upande wa hawa, definitely, hawana chochote watakachopata zaidi ya vipesa vya bia, safari na kununua vijigari used. Hii ni project ya pamoja kati ya Freeman Mbowe wafuasi wake upande mmoja na CCM/dola on the other hand..

Freeman Mbowe hafikiri tena kuwa, CHADEMA ni chama alichokijenga na kuwa hapa kilipo. Yeye ni maslahi yake kwanza. Kama atashindwa kupata kupitia CHADEMA, atatafuta njia nyingine. Ndiyo hii inayoendelea sasa.

Ni kisasi cha kutibuliwa ulaji wao vs Maslahi ya umma/wananchi. It's Almighty God vs The devil himself 👿

You can easily see the winner here, right..?
It's just a matter of time...

In conclusion, huu ni mkakati wa kidola, unaoratibiwa straight from Ikulu ya Chura Kiziwi..

Wamebakisha strategy mbili na zote zitakuwa za makosa na kwa hizo watajichinja kwa mikono yao wenyewe...!
 
FB_IMG_1749728840762.jpg
 
Ila wamesahau msemo huu, kwamba siyo kila siku ni J'mosi. Wanadhani, mbinu zilizotumika kuiua NCCR na CUF itafanikiwa kwa nyakati na majira haya. Hapa, hizi ni nyakati nyingine kabisa. Utatu hautatumilika. Ni zamu yao kufa...

And we are very aware of their strategies which are coordinated by series of killer events:

1. Tarehe 9/4/2025; EXECUTE STRATEGY #1
• Kamata Mwenyekiti wao Tundu Lissu, tia ndani, bambika kesi kwa kosa lisilo na dhamana. Lipi hilo? Uhaini - treason. Tutamtoa huko akikubaliana Ts&Cs zetu...

LENGO:
√ CHADEMA wajifungie ndani kulia kama ilivyokuwa wakati wa movement ya kudai katiba mpya iliyoongozwa na Freeman Mbowe 2021..

√ Mwenyekiti akawaambia, don't cry for me. Jililieni nafsi zenu, endeleeni na movement ya NRNE. Nitatoka, tutakuwa pamoja, TUTASHINDA.

√ This also shocked them, coz it failed spectacularly. Noises for this, were everywhere in and outside the country

2. Tarehe 13/5/2025; STRATEGY #2
• Msajili wa vyama vya siasa, tumia mamlaka yako. Tafuta mjinga mmoja humo ndani mwao, mpe pesa za kutosha, mwelekezeni vizuri amlalamikie Katibu mkuu wao kuwa uteuzi wa baadhi ya wajumbe wa KK na Secretariate haukukidhi matakwa ya kikatiba. Haijalishi watajibu nini, tumia mwanya huo, tengua uteuzi huo

LENGO:
√ CHADEMA wata - panic na kuanza kukimbizana kujiokoa badala ya kuendelea na kampeni ya NRNE.

√ Iliwashitua sana hawa hayawani because nothing special happened to satisfy their souls. They had to push to execute the next strategy..

3. Tarehe 27/5/2025; STRATEGY #3
• Msajili wa vyama, akafumba macho, akakanyaga sheria, katiba ya nchi na taratibu. Akaamuriwa ku - abuse mamlaka yake.

• Akawa pushed kutekeleza tishio la mkakati wa #2 hapo juu. Kujifanya hatambui viongozi walioteuliwa. Akafanya hivyo..

• Kwa hiyo, akafanya final execution, kwa kusimamisha ruzuku ya TZS 100,000,000+ ya kila mwezi kwa ajili ya chama...

LENGO:
√ CHADEMA izimie roho, waanze kulia kwa kukosa pesa na watasimamisha kampeni yao ya NRNE kwa ukata. Haikuwa hivyo, moto ukawaka zaidi...

√ Wananchi wakasema, sisi ndo ruzuku yenu, CHADEMA ni chama chetu. NRNE ikaendelea kuchanja mbuga ikifagia masalio ya CCM kila mahali.

√ They were completely shocked. Swali likawa, what we have to do now..?

Tarehe 10/6/2025; STRATEGY #4
• Go to the next level of our strategy. Use one of our judge to Stop them 🛑 from continuing with the rallies on NRNE. It happened...

LENGO:
√ Wanadhani wamemaliza kazi. Kazi ya kuieneza NRNE itaishia hapo.

√ They're completely wrong...

√. Mungu wa mbinguni yuko kazini kuikomboa Tanganyika kutoka kwa hawa hayawani toka Zanzibar wakisaidiana na Watanganyika wenzetu wachache, waliokosa uzalendo wa nchi na taifa lao la Tanganyika na badala wanashirikiana na hayawani hawa kuumiza Watanganyika..

ZAMU YA MAPIGO YAO KADHAA INAKUJA KUJIMALIZA. YATAFANYWA NA MIKONO YAO WENYEWE HAWA HAYAWANI..!

• Kila strategy waliyo execute hapo juu, Ina Makosa yaliyosababishwa na Mungu Yehova mwenyewe pasipo wao kujua Ili watu wake Mungu wapate ku - capitalize na kushinda vita hii..

• Ndugu, The Almighty God is at work. He won't allow them to win. Their time in the spiritual realm is over. It's soon going to be justified physically for each of us to see with our naked eyes..

SWALI LAKO NI;
Je, kina
Si Lembrus Mchome
Si Said Issa Mohammed, Maulida Anna Komu, na Ahmed Rashid
Na wala si Freeman Aikael Mbowe ni washirika wa huu mkakati...?

The ANSWER is BIG YES..!!

Si hao👆 tu...

Wengine ni wallioko huko CHAKU - UUMA au CHAUMA tayari...

They're openly saying, tunaihamishia CHADEMA huku - CHAUMA. Hapa wana maana ya ile CHADEMA chafu, corrupt, ya wezi na iliyojaa ulaghai kwa wananchi ndio inahamia huko..

And mind you. Hii si kauli ya kisiasa tu. Ni mkakati halisi unaofadhiliwa na CCM na dola, na ndivyo inavyofanyika...

Kwa upande wa hawa, definitely, hawana chochote watakachopata zaidi ya vipesa vya bia, safari na kununua vijigari used. Hii ni project ya pamoja kati ya Freeman Mbowe wafuasi wake upande mmoja na CCM/dola on the other hand..

Freeman Mbowe hafikiri tena kuwa, CHADEMA ni chama alichokijenga na kuwa hapa kilipo. Yeye ni maslahi yake kwanza. Kama atashindwa kupata kupitia CHADEMA, atatafuta njia nyingine. Ndiyo hii inayoendelea sasa.

Ni kisasi cha kutibuliwa ulaji wao vs Maslahi ya umma/wananchi. It's Almighty God vs The devil himself 👿

You can easily see the winner here, right..?
It's just a matter of time...

In conclusion, huu ni mkakati wa kidola, unaoratibiwa straight from Ikulu ya Chura Kiziwi..

Wamebakisha strategy mbili na zote zitakuwa za makosa na kwa hizo watajichinja kwa mikono yao wenyewe...!
Nini mchango wa Timu Mbowe kwenye haya? Maana aliyeshtaki chama kwa msajili ni Timu Mbowe, Walioishtaki chama mahakama kuu ni Timu Mbowe. Kwanini Mbowe na baadhi ya waliomuunga mkono wasihisiwe kuwa ni sehemu ya hizi hujuma?
 
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe vyote vilitokea tu spontaneously na vimekuwa vikibadilikabadilika kuwa vilivyosasa. Huu upuuzi unapofundishwa, hata ukimtazama usoni mwalimu anayekufundisha, unaona kabisa naye hakiamini anachokufundisha.

Tutafakari; kama vitu kama magari, nyumba, simu na hata viti tunavyokalia, havitokei tu hivi hivi, lazima visanifiwe kwa ubunifu mkubwa na kuundwa kwa ustadi wa hali ya juu, iweje mtu, kiumbe mwenye akili, maarifa na ubunifu wa ajabu namna hii tuamini alitokea tu sijui kutoka kwenye mamyani?

Natumia mfano huu wa EVOLUTION kutathmini yanayoendelea CHADEMA. April 9, mwenyekiti wake alikamatwa akafunguliwa kesi ya UHAINI, May 13 msajili katengua uteuzi wa Sekretariat ya CHADEMA, Mei 27 Msajili kasitisha ruzuku, June 10 mahakuma kuu imetoa amri ya kusitisha shughuli zote za CHADEMA.

Kila nikijaribu kudhani ni mazingira gani yanayoweza kupelekea kadhia zote hizi kuikumba CHADEMA kwa wakati mmoja in such a coordinated manner? Moyo wangu unaniambia EVOLUTION is a LIE. Unahitaji imani ya kuhamisha milima kuamini kuwa matukia makubwa manne kukishambulia chama kimoja yanaweza kutokea spontaneously bila kuratibiwa. Kwa vyovyote vile, kuna mtu au watu nyuma ya hizi kadhia za CHADEMA.

Swali linabaki ninani anayeratibu mpango wa kuhujumu CHADEMA, na ananufaikaje? Je, ni Lembruce Mchome aliyeishtaki CHADEMA kwa msajili? Au ni Saidi Issah Mohammed, Ahmed Rashid na Maulidah Anna Komu walioishtaki CHADEMA mahakamani? Ni Mbowe, maana wote wanaotajwa ni waliomuunga mkono? Ni dola na vyombo vyake au ni wote hawa niliowataja?

Bila kujali nani anahusika na madhila haya ya CHADEMA na ana nia gani, nadhani sote tunakubaliana kuwa hujuma dhidi ya vyama vya siasa zinaua Demokrasi. Siasa zetu zinakuwa na radha pale CCM tunaposhindana na upinzani wenye nguvu, sio huu wa CHAUMA!
Hata waliohamia Chaumwa sijui kama wanakuelewa tena,kwani walipokaribia getini waliporwa uwezo wa kuelewa tena kama wale wa chama kijani..Ila wazalendo wote wanakuelewa vyema.
 
Ni Mbowe,
Ni CCM ila imetumia mwanya wa Team mbowe kama nyenzo ya kufanikisha hujuma. Usishangae hata kesho wakadai ofisi ni mali binafsi ya Mbowe na msajili wa vyama au polisi wakasema ni kweli wakatoa amri wapishe!!

MBOWE amejivunjia sana heshima na akihamia CHAUMMA ndio kabisa ataishia kuzomewa mikutanoni mpaka atakimbia siasa.

Sema Chadema tuache kucheka na hawa wasaliti, mbona enzi za Dr Slaa na Marando tulikua tunamalizana na hawa wahuni mapema tu, intelligentsia imepotea wapi? Ilipaswa muda huu Maulida atueleze nani kamtuma, yaani aminywe hadi aseme ukweli. Then afuate Mchome na Said Mohamed, huu ujinga huu ndio utaisha. Muda wa diplomasia na hawa CCM umeisha
 
karma ya kumtukana magufuli inawatafuna chademoa sasahivi watahenya
Karma?? Yaani hao maCCM yamuue JPM alafu karma kwa chadema? Una akili kweli wewe? Kwahiyo hata Gwajima aliyemtetea JPM na kina Mpina leo wanashughulikiwa nayo ni karma ya kumuunga mkono JPM?

Hauna akili wewe
 
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe vyote vilitokea tu spontaneously na vimekuwa vikibadilikabadilika kuwa vilivyosasa. Huu upuuzi unapofundishwa, hata ukimtazama usoni mwalimu anayekufundisha, unaona kabisa naye hakiamini anachokufundisha.

Tutafakari; kama vitu kama magari, nyumba, simu na hata viti tunavyokalia, havitokei tu hivi hivi, lazima visanifiwe kwa ubunifu mkubwa na kuundwa kwa ustadi wa hali ya juu, iweje mtu, kiumbe mwenye akili, maarifa na ubunifu wa ajabu namna hii tuamini alitokea tu sijui kutoka kwenye mamyani?

Natumia mfano huu wa EVOLUTION kutathmini yanayoendelea CHADEMA. April 9, mwenyekiti wake alikamatwa akafunguliwa kesi ya UHAINI, May 13 msajili katengua uteuzi wa Sekretariat ya CHADEMA, Mei 27 Msajili kasitisha ruzuku, June 10 mahakuma kuu imetoa amri ya kusitisha shughuli zote za CHADEMA.

Kila nikijaribu kudhani ni mazingira gani yanayoweza kupelekea kadhia zote hizi kuikumba CHADEMA kwa wakati mmoja in such a coordinated manner? Moyo wangu unaniambia EVOLUTION is a LIE. Unahitaji imani ya kuhamisha milima kuamini kuwa matukia makubwa manne kukishambulia chama kimoja yanaweza kutokea spontaneously bila kuratibiwa. Kwa vyovyote vile, kuna mtu au watu nyuma ya hizi kadhia za CHADEMA.

Swali linabaki ninani anayeratibu mpango wa kuhujumu CHADEMA, na ananufaikaje? Je, ni Lembruce Mchome aliyeishtaki CHADEMA kwa msajili? Au ni Saidi Issah Mohammed, Ahmed Rashid na Maulidah Anna Komu walioishtaki CHADEMA mahakamani? Ni Mbowe, maana wote wanaotajwa ni waliomuunga mkono? Ni dola na vyombo vyake au ni wote hawa niliowataja?

Bila kujali nani anahusika na madhila haya ya CHADEMA na ana nia gani, nadhani sote tunakubaliana kuwa hujuma dhidi ya vyama vya siasa zinaua Demokrasi. Siasa zetu zinakuwa na radha pale CCM tunaposhindana na upinzani wenye nguvu, sio huu wa CHAUMA!
Serikali yote na CCM +machawa wanapambana na CDM ambayo haina hata sungu sungu wala ruzuku,nguvu kubwa sana na Kodi zinatumika kuhakikisha wanaiua ,lakini ni swala la muda tu
 
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe vyote vilitokea tu spontaneously na vimekuwa vikibadilikabadilika kuwa vilivyosasa. Huu upuuzi unapofundishwa, hata ukimtazama usoni mwalimu anayekufundisha, unaona kabisa naye hakiamini anachokufundisha.

Tutafakari; kama vitu kama magari, nyumba, simu na hata viti tunavyokalia, havitokei tu hivi hivi, lazima visanifiwe kwa ubunifu mkubwa na kuundwa kwa ustadi wa hali ya juu, iweje mtu, kiumbe mwenye akili, maarifa na ubunifu wa ajabu namna hii tuamini alitokea tu sijui kutoka kwenye mamyani?

Natumia mfano huu wa EVOLUTION kutathmini yanayoendelea CHADEMA. April 9, mwenyekiti wake alikamatwa akafunguliwa kesi ya UHAINI, May 13 msajili katengua uteuzi wa Sekretariat ya CHADEMA, Mei 27 Msajili kasitisha ruzuku, June 10 mahakuma kuu imetoa amri ya kusitisha shughuli zote za CHADEMA.

Kila nikijaribu kudhani ni mazingira gani yanayoweza kupelekea kadhia zote hizi kuikumba CHADEMA kwa wakati mmoja in such a coordinated manner? Moyo wangu unaniambia EVOLUTION is a LIE. Unahitaji imani ya kuhamisha milima kuamini kuwa matukia makubwa manne kukishambulia chama kimoja yanaweza kutokea spontaneously bila kuratibiwa. Kwa vyovyote vile, kuna mtu au watu nyuma ya hizi kadhia za CHADEMA.

Swali linabaki ninani anayeratibu mpango wa kuhujumu CHADEMA, na ananufaikaje? Je, ni Lembruce Mchome aliyeishtaki CHADEMA kwa msajili? Au ni Saidi Issah Mohammed, Ahmed Rashid na Maulidah Anna Komu walioishtaki CHADEMA mahakamani? Ni Mbowe, maana wote wanaotajwa ni waliomuunga mkono? Ni dola na vyombo vyake au ni wote hawa niliowataja?

Bila kujali nani anahusika na madhila haya ya CHADEMA na ana nia gani, nadhani sote tunakubaliana kuwa hujuma dhidi ya vyama vya siasa zinaua Demokrasi. Siasa zetu zinakuwa na radha pale CCM tunaposhindana na upinzani wenye nguvu, sio huu wa CHAUMA!
Huitaji darubini kubaini unafiki wa CCM na serekali zake. Wanatoa ruzuku kwa mujibu wa sheria, kisha wanatuambia umma kuwa hao ni magaidi! . Unajiuliza, sasa huyu anayefadhili magaidi na anataka nimwamini!. Nasimama wapi kumwamini?.........Bure kabisa!.
 
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe vyote vilitokea tu spontaneously na vimekuwa vikibadilikabadilika kuwa vilivyosasa. Huu upuuzi unapofundishwa, hata ukimtazama usoni mwalimu anayekufundisha, unaona kabisa naye hakiamini anachokufundisha.

Tutafakari; kama vitu kama magari, nyumba, simu na hata viti tunavyokalia, havitokei tu hivi hivi, lazima visanifiwe kwa ubunifu mkubwa na kuundwa kwa ustadi wa hali ya juu, iweje mtu, kiumbe mwenye akili, maarifa na ubunifu wa ajabu namna hii tuamini alitokea tu sijui kutoka kwenye mamyani?

Natumia mfano huu wa EVOLUTION kutathmini yanayoendelea CHADEMA. April 9, mwenyekiti wake alikamatwa akafunguliwa kesi ya UHAINI, May 13 msajili katengua uteuzi wa Sekretariat ya CHADEMA, Mei 27 Msajili kasitisha ruzuku, June 10 mahakuma kuu imetoa amri ya kusitisha shughuli zote za CHADEMA.

Kila nikijaribu kudhani ni mazingira gani yanayoweza kupelekea kadhia zote hizi kuikumba CHADEMA kwa wakati mmoja in such a coordinated manner? Moyo wangu unaniambia EVOLUTION is a LIE. Unahitaji imani ya kuhamisha milima kuamini kuwa matukia makubwa manne kukishambulia chama kimoja yanaweza kutokea spontaneously bila kuratibiwa. Kwa vyovyote vile, kuna mtu au watu nyuma ya hizi kadhia za CHADEMA.

Swali linabaki ninani anayeratibu mpango wa kuhujumu CHADEMA, na ananufaikaje? Je, ni Lembruce Mchome aliyeishtaki CHADEMA kwa msajili? Au ni Saidi Issah Mohammed, Ahmed Rashid na Maulidah Anna Komu walioishtaki CHADEMA mahakamani? Ni Mbowe, maana wote wanaotajwa ni waliomuunga mkono? Ni dola na vyombo vyake au ni wote hawa niliowataja?

Bila kujali nani anahusika na madhila haya ya CHADEMA na ana nia gani, nadhani sote tunakubaliana kuwa hujuma dhidi ya vyama vya siasa zinaua Demokrasi. Siasa zetu zinakuwa na radha pale CCM tunaposhindana na upinzani wenye nguvu, sio huu wa CHAUMA!
Evolution theory huwezi ielewa kama una amini uumbaji. Muumini hahoji inakuwaje biblia hesabu ya tangu adamu mpaka leo ni miaka 6000 lakini kuna masalia ya mifupa ya binadamu ya zaidi ya miaka 3m inagunduliwa ardhini?
 
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe vyote vilitokea tu spontaneously na vimekuwa vikibadilikabadilika kuwa vilivyosasa. Huu upuuzi unapofundishwa, hata ukimtazama usoni mwalimu anayekufundisha, unaona kabisa naye hakiamini anachokufundisha.

Tutafakari; kama vitu kama magari, nyumba, simu na hata viti tunavyokalia, havitokei tu hivi hivi, lazima visanifiwe kwa ubunifu mkubwa na kuundwa kwa ustadi wa hali ya juu, iweje mtu, kiumbe mwenye akili, maarifa na ubunifu wa ajabu namna hii tuamini alitokea tu sijui kutoka kwenye mamyani?

Natumia mfano huu wa EVOLUTION kutathmini yanayoendelea CHADEMA. April 9, mwenyekiti wake alikamatwa akafunguliwa kesi ya UHAINI, May 13 msajili katengua uteuzi wa Sekretariat ya CHADEMA, Mei 27 Msajili kasitisha ruzuku, June 10 mahakuma kuu imetoa amri ya kusitisha shughuli zote za CHADEMA.

Kila nikijaribu kudhani ni mazingira gani yanayoweza kupelekea kadhia zote hizi kuikumba CHADEMA kwa wakati mmoja in such a coordinated manner? Moyo wangu unaniambia EVOLUTION is a LIE. Unahitaji imani ya kuhamisha milima kuamini kuwa matukia makubwa manne kukishambulia chama kimoja yanaweza kutokea spontaneously bila kuratibiwa. Kwa vyovyote vile, kuna mtu au watu nyuma ya hizi kadhia za CHADEMA.

Swali linabaki ninani anayeratibu mpango wa kuhujumu CHADEMA, na ananufaikaje? Je, ni Lembruce Mchome aliyeishtaki CHADEMA kwa msajili? Au ni Saidi Issah Mohammed, Ahmed Rashid na Maulidah Anna Komu walioishtaki CHADEMA mahakamani? Ni Mbowe, maana wote wanaotajwa ni waliomuunga mkono? Ni dola na vyombo vyake au ni wote hawa niliowataja?

Bila kujali nani anahusika na madhila haya ya CHADEMA na ana nia gani, nadhani sote tunakubaliana kuwa hujuma dhidi ya vyama vya siasa zinaua Demokrasi. Siasa zetu zinakuwa na radha pale CCM tunaposhindana na upinzani wenye nguvu, sio huu wa CHAUMA!
Kama wewe ni CCM, basi ni 1 kati ya 1,000,000.
Kongole kwa tafakuri yako.
Andiko la kisomi, ila tegemea matusi kutoka kwa chawa ambao wao ukweli kwao ni dhambi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom