dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,849
- 14,511
Ati kolabo ufanye na Omario ndo ukachafue mitandaoni na kudumba kama umefanya kolabo na drake kumbe kolabo na veteraniHapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?