Hizi sasa sifa; Baada ya kolabo na Rick Rosey, Diamond kuja na kolabo na Omarion

Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Ati kolabo ufanye na Omario ndo ukachafue mitandaoni na kudumba kama umefanya kolabo na drake kumbe kolabo na veterani
 
!
!
Kajigundulia hii style ya kushurikisha wasanii wakubwa wakubwa ili afaidike na fan base zao. Anaweza kuwa msanii wa kwanza kuwa na Collaboration nyingi sana.
 
huwezi kufikia 3 kabla 1 na 2 hujazivuka...ngoja kwanza aanze na hawa hawa waliochuja ili at least hao wakubwa wanaohit kwa sasa watambue uwepo wake...kisha naamini atafanya nao tu hao ambao wanahit kwa sasa huko mbele.

All in all,hizi collabo is for business purpose na exposure...tunaimba kiswahili,so ni vigumu sana kusimama peke yako kama solo ukitegemea siku moja mziki wako uje uuzike/usikike nchi za marekani na ulaya.
 
Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Mfano wimbo gani?
 
Hapa ndipo Diamond anaponiacha hoi, yaani anafanya kolabo na mtu wa nje cha maana wanachokifanya hao watu ni kutaja neon moja tu kama vile 'oooo' 'uuuu' 'waaaa' 'haaaa', 'you know what', 'Hey Yo', wabongo wanaona ujiko, this is beyond stupidity? Unamlipa mtu so much money kuuza sura tu?
Wimbo gani toa mfano.
 
Back
Top Bottom