Hizi sasa sifa; Baada ya kolabo na Rick Rosey, Diamond kuja na kolabo na Omarion

Subiri huu ukitoka labda waufanyie marekebisho tu.
Kumbe wimbo hujatoka, wewe umejuaje kwamba mhusika hajaimba chochote zaidi ya kusema "hey, yo haaa?"

Labda na wewe nikukumbushe, hao hao wasioimba chochote zaidi ya kusema "hey, yo" na mmoja wao akiwa Neyo, kwenye wimbo wa Maarry You umefikisha 6X Platinum na kuwa the first African Artist under UMG!

Hoping wametumia SA Certification, 6X Platinum ni 120,000 units sales! Marry You unauzwa kwa $1.29; so with 120K units sales ni zaidi ya $150,000 na hiyo ni iTune peke yake kabla hatujawaweka mapato ya Youtube, caller tunes wala royalties za radio & tv stations
 
mi nimetembea ndugu yangu muulize mtu yoyote ambaye yupo usa kama wimbo huo wa diamond na neyo wanaujua ni baadhi ya wanaafrica mashariki wanaoishi marekan ndio wanaoujua tena baadhi wajifunze kutoka kwa lucky dube alijitengenezea jina kubwa africa ndipo akaombwa na wa nje kufanya kazi sio kila unapomuona star wa usa basi unaomba colabo tu lazima utaishia hivyo hujulikani kwingine coz wao hawaendi nazo kwao
Kwahiyo ulikuwa unapita huku na kule na kuwauliza ikiwa wanaufahamu wimbo wa Marry You wa Diamond ft Neyo, au?!

Collabo na Neyo walikuwa wanaponda hivi hivi lakini imemfanya kuwa first African Musician under UMG kupata 6X Platinum Sales.

Kwamba Lucky Dube alianza kujenga himaya Africa ndicho ambacho Diamond amekuwa akifanya! Over the past 2-3 years, focus yake ilikuwa ni Africa! Alianza West Africa akahamia South Africa kwa sababu huko ndiko muziki wake unafuatiliwa zaidi!

Ingawaje hajaikamata vya kutosha Afrika lakini leo hii hawezi kung'angania collabo za Afrika pekee bila kuangalia pande zingine za dunia!!
 
mi nimetembea ndugu yangu muulize mtu yoyote ambaye yupo usa kama wimbo huo wa diamond na neyo wanaujua ni baadhi ya wanaafrica mashariki wanaoishi marekan ndio wanaoujua tena baadhi wajifunze kutoka kwa lucky dube alijitengenezea jina kubwa africa ndipo akaombwa na wa nje kufanya kazi sio kila unapomuona star wa usa basi unaomba colabo tu lazima utaishia hivyo hujulikani kwingine coz wao hawaendi nazo kwao
Ungetembea pia ungejua hapo hapo USA kuna watu hawajui hata J.Lo ni nani! Tena wale wa hip hop unawajua wewe maarufu kuna watu USA ukiwauliza hawawajui kabisaaaa!
 
Ungetembea pia ungejua hapo hapo USA kuna watu hawajui hata J.Lo ni nani! Tena wale wa hip hop unawajua wewe maarufu kuna watu USA ukiwauliza hawawajui kabisaaaa!
Nilimwandikia post moja kumfafanulia kwa kina na kuonesha ni namna gani hoja yake isivyo na msingi na ni kwanini muhimu kufanya collabo na akina Omarion na sio akina Drake kama ambavyo tungependa iwe!!

Niliamua kuifuta kwa sababu zangu binafsi!!!
 
Kwema wana,

Yule mwanamziki pekee wa kimataifa panapo ardhi ya Nyerere, Diamond Platnumz yupo jikoni akiaanda ngoma nyingine na mkali kunako ardhi ya Trump, USA Baby.

Mtakumbuka kama wiki mbili zilizopita Mond alikuwa akipika hit song na Rick Rosey mwenye midevu yake.

Wale ambao hatujafikisha miaka 30 tutakuwa tunamjua vyema mnyama Omarion (ndiye alikuwa role model wetu) aliyekuwa kundi la B2K chini ya Rapa tajiri duniani P.Didy lakini sio wa JF asiyejua kuandika.

Wakati Diamond akiipeleka Bongo fleva duniani kuna kajamaa kenyewe kanashinda kijiweni kuvuta shisha na kula mirungi huku kakisubiri mwisho wa wiki kakagombee mic na Mwamba Geu , S Kide mtoto wa mama Shamte fiestani.

 
Kwema wana,

Yule mwanamziki pekee wa kimataifa panapo ardhi ya Nyerere, Diamond Platnumz yupo jikoni akiaanda ngoma nyingine na mkali kunako ardhi ya Trump, USA Baby.

Mtakumbuka kama wiki mbili zilizopita Mond alikuwa akipika hit song na Rick Rosey mwenye midevu yake.

Wale ambao hatujafikisha miaka 30 tutakuwa tunamjua vyema mnyama Omarion (ndiye alikuwa role model wetu) aliyekuwa kundi la B2K chini ya Rapa tajiri duniani P.Didy lakini sio wa JF asiyejua kuandika.

Wakati Diamond akiipeleka Bongo fleva duniani kuna kajamaa kenyewe kanashinda kijiweni kuvuta shisha na kula mirungi huku kakisubiri mwisho wa wiki kakagombee mic na Mwamba Geu , S Kide mtoto wa mama Shamte fiestani.

 
Af unapomfananisha mond na kiba n makosa makubwa saana sawa nakumfananisha samata na ngasa hvo bx unapofananisha angaliaga kwanza so mnafananishafananisha 2 h8rs never win 4ever
 
Kumbe wimbo hujatoka, wewe umejuaje kwamba mhusika hajaimba chochote zaidi ya kusema "hey, yo haaa?"

Labda na wewe nikukumbushe, hao hao wasioimba chochote zaidi ya kusema "hey, yo" na mmoja wao akiwa Neyo, kwenye wimbo wa Maarry You umefikisha 6X Platinum na kuwa the first African Artist under UMG!

Hoping wametumia SA Certification, 6X Platinum ni 120,000 units sales! Marry You unauzwa kwa $1.29; so with 120K units sales ni zaidi ya $150,000 na hiyo ni iTune peke yake kabla hatujawaweka mapato ya Youtube, caller tunes wala royalties za radio & tv stations


haujatoka redioni ila baadhi tumeusikia.
 
Lazima tukubali kuwa Diamond ana bidii katika kazi yake na pia ana njaa ya mafanikio zaidi. Kwa upande mwingine Ali Kiba inambidi na yeye aige vile vizuri ambaye hasimu wake anavyo
 
Lazima tukubali kuwa Diamond ana bidii katika kazi yake na pia ana njaa ya mafanikio zaidi. Kwa upande mwingine Ali Kiba inambidi na yeye aige vile vizuri ambaye hasimu wake anavyo
Kiba hawezi kuiga ujinga mkuu
Mondi kachoka sa hv amebaki kutafuta Kik tu
 
Back
Top Bottom