Kumbe wimbo hujatoka, wewe umejuaje kwamba mhusika hajaimba chochote zaidi ya kusema "hey, yo haaa?"Subiri huu ukitoka labda waufanyie marekebisho tu.
Labda na wewe nikukumbushe, hao hao wasioimba chochote zaidi ya kusema "hey, yo" na mmoja wao akiwa Neyo, kwenye wimbo wa Maarry You umefikisha 6X Platinum na kuwa the first African Artist under UMG!
Hoping wametumia SA Certification, 6X Platinum ni 120,000 units sales! Marry You unauzwa kwa $1.29; so with 120K units sales ni zaidi ya $150,000 na hiyo ni iTune peke yake kabla hatujawaweka mapato ya Youtube, caller tunes wala royalties za radio & tv stations