Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,463
- 21,192
Ingawa wengi hamjui kilichomfanya Daimond asifanye show pale mlimani lakini ukweli ni kwamba ile kolabo na Rick Ross ndiyo sababu kuu iliyomfanya Diamond asifanye show ya bure.
Diamond anataka watu mzidi kummiss ili hata akitangaza show ya 50K muweze kwenda. Laiti angeenda Jana kwa vyovyote vile mngetaka aimbe na ule wimbo alioshirikiana na Rick Ross kitu ambacho kingemtia hasara.
Diamond bado hajatengeneza pesa kupitia huo wimbo na ukizingatia hata wiki bado haujafikisha halafu akubali kweli auimbe bure bure.
Mnajua amempa Rick Ross sh ngapi afanye naye kolabo?
Basi hii ndio sababu ya diamond kuwatosa kwenye show yenu ya bure.
Subirini show kubwa ataifanya kwa pesa ndefu na mtakuja tu.
[HASHTAG]#Diamond[/HASHTAG] are forever#
Diamond anataka watu mzidi kummiss ili hata akitangaza show ya 50K muweze kwenda. Laiti angeenda Jana kwa vyovyote vile mngetaka aimbe na ule wimbo alioshirikiana na Rick Ross kitu ambacho kingemtia hasara.
Diamond bado hajatengeneza pesa kupitia huo wimbo na ukizingatia hata wiki bado haujafikisha halafu akubali kweli auimbe bure bure.
Mnajua amempa Rick Ross sh ngapi afanye naye kolabo?
Basi hii ndio sababu ya diamond kuwatosa kwenye show yenu ya bure.
Subirini show kubwa ataifanya kwa pesa ndefu na mtakuja tu.
[HASHTAG]#Diamond[/HASHTAG] are forever#