... Nawaulizeni wanajf wenzangu, je kama uko na mai waifu wako akaona unayofanyiwa na hawa akina dada atakuruhusu uwe unakwenda peke yako?
...Au kama maiwaifu wako angekuwa anafanya kazi huko, ungemruhusu awafanyie wanaume wengine vile hawa akina dada wanafanya? Na tujadili!
Hivi wasichana wetu hapa Bongo wanafanya BIKINI WAX katika hizo saloon?
Mkuu tuko pamoja kwa hili. Lakini swali ni je, unaweza kuongozana na mkeo/mmeo wakati wa kufanyiwa hii huduma huko kwenye hizo salon?Tuache visingizio,mwanaume kama ni malaya atakuwa ni malaya tu na wala haitaji kufanyiwa manjonjo saluni ili afanye ufuska.umalaya ni attitude of mind na wala tusisingizie saluni,mara oh wasichana wanashika masikio etc,mbona nesi hospital akikushika nanihi huwazii ngono? Tuache visingizio ngono ni suala la uamuzi wa mtu na halihitaji visingizio,period! Achezi mabinti za watu wapate riziki,afterall ajira zenyewe ziko wapi?
Mkuu hapo juu umenichekesha sana, ila hiyo para ya pili nana kana kwamba unamruhusu tu kwa shingo upande kwa ulichokiita "hakuna kazi mbaya"naam, wangu alinisindikiza mara mbili tatu siku hizi huniuliza tu, "..umenyoa kwenye ile salooni eeh?"
...naam, la msingi ni yeye mwenyewe anavyojiheshimu, anavyoniheshimu na kuiheshimu ndoa yake...haijalishi kama ni Barmaid, Nurse, au Personal Secretary wa bosi, hakuna kazi 'mbaya'.
...mwanaume mzima ukafanyiwe 'bikini-Waxing', kisa?
Mkuu hapo juu umenichekesha sana, ila hiyo para ya pili nana kana kwamba unamruhusu tu kwa shingo upande kwa ulichokiita "hakuna kazi mbaya"
mbona nesi hospital akikushika nanihi huwazii ngono?
Nimeipenda!!!! Ila kumbuka kuna wagonjwa wengine ambao wakihudumiwa na manesi wa kike huanza balaa!!!
Halafu binadamu wote si sawa kuna wenye matatizo ya akili ambao kwao ngono ni kama kupeana mkono wakati wa kusalimiana!!
jamani waacheni wadada wa watu wamejitafutia ajira hapo kwa kuosha osha watu sura..unaetaka wakuosha sura tusiotaka kama sie twanyoa tu na kutoka nduki..maana sie wengine bwana tukishashikwa shikwa na wamama basi misisimuko inaanza na tunaogopa kufika mbali zaidi...kwahiyo ni wife tu ndo afanyakazi ya kunishika mwili
,,,,,,Ha ha haaaaa!!,kuna jamaa mmoja huku zenji alikua anakoshwa uso na nywele baada ya kunyolewa,sasa saluni za siku hizi zenji wanaleta wadada walio jaaliwa toka bara,na kama unavyojua tena wadada wa kizenji wengi vi basmati(portable),lijamaa limeshamaliza kuoshwa linaambiwa MAKAME haya amka aje mwingine,,halitaki,,kumbe mambo yalikua yesha kua mabaya kwenye suruali,MNYAMA alikua kesha kamata network,kwa kweli ilikua kali kwelikweli.Hi kitu ni balaa lakini si ndo maendeleo bana,tutazoea tu.
Sijawahi ona mwanaume anaenda kunyoa au kufanyiwa facial akiwa na mke wake!!
....Kaka kwani nini tena?? 'Soldier down?' au 'Muziki unakuwa si wa-kawaida?'naam, wangu alinisindikiza mara mbili tatu siku hizi huniuliza tu, "..umenyoa kwenye ile salooni eeh?"
mkuu ipo moja sinza.....mhh nilitekenywa masikioni alafu anajifanya anakupuliza masikioni.....si mnajua upulizwe sikioni utamu wake....lol uzalendo ulinishinda nikamuambia asinipake madawa nina aleji ila ule utamu ungeendelea yangekuwa mengine.....Mke wangu hawezi kuniruhusu,pia siwezi kukubali mke wangu afanye hiyo kazi. Omba usifanyiwe hiyo kitu. Wanatekenya vibaya madada hawa,acha kabisa.
mkuu ipo moja sinza.....mhh nilitekenywa masikioni alafu anajifanya anakupuliza masikioni.....si mnajua upulizwe sikioni utamu wake....lol uzalendo ulinishinda nikamuambia asinipake madawa nina aleji ila ule utamu ungeendelea yangekuwa mengine.....
Could u kindly give us ur experience? Vipi mikono ya hao kina kaka.hata salon za wanawake kuna wanaume pia wanatoa huduma kwa wanawake.
Utamu wa mjadala ni uingie na ujadili. Kama unaona una lakusema kuhusiana na hili unakaribishwa, usisubiri mwingine azungumzie lile unalolifahamu na wakati mwingine alizungumze kinyume na unavyolijua wewe.Mbona hamzungumzii salon za kike kuhudumiwa na akina kaka?
Nimesoma reply zote za hii thread,na sijaona hata mmoja aliyejibu kwa ufasaha maswali yaiyoulizwa na mwenye thread. Kwanini watu mnapenda sana kukimbilia kujibu vitu bila ya kujitayarisha vizuri, kwa maana ya kuelewa swali kwanza na kujibu kwa ufasaha. Au mnajibu ili mjiongezee credit tu. Maana wengine wamejibu kwa maswali zaidi. Tafadhalini, chonde chonde wanajf,kama mnataka kuendelea kuifanya JF iwe sehemu ambayo itakuwa endelevu, basi tujitahidi sana kutoa majibu mazuri kwa maswali yanayoulizwa. Kama unaona jibu huna basi kaa kimya si lazima uandike,for the sake of just writting.