Hizi picha zina ukweli??

Hizi picha zina ukweli??

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,194
Reaction score
99,925
IMG-20190405-WA0010.jpeg
kwa mbali namuona nanihii. Nimeziona asubuhi hii nikastuka Kidogo
IMG-20190405-WA0008.jpeg
IMG-20190405-WA0007.jpeg
IMG-20190405-WA0009.jpeg
IMG-20190405-WA0003.jpeg
IMG-20190405-WA0004.jpeg
IMG-20190405-WA0002.jpeg
IMG-20190405-WA0010.jpeg


You are strong than what you think...
 

Attachments

  • IMG-20190405-WA0003.jpeg
    IMG-20190405-WA0003.jpeg
    21.8 KB · Views: 79
Hata sijaelewa

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hata Mimi sijaelewa kitu hapa

You are strong than what you think...
 
Hata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha ukute Kijana ndiio yuko twenties Hahaha mnara unasoma 4G, unafikiri kwenda kupiga show za kibabe!

You are strong than what you think...
 
Daah, ila tuache utani. Tusiongee tu kwa sababu tumeona picha zake tofauti tofauti. Kuna asilimia kubwa sana ya sisi wanaume kutaman kumpiga show za kibabe huyo dada ili akasimulie wenzake.

Ni mkali na amesimamia ukucha aisee, ila huwez amin kwmb taa nyekundu ishawaka. Akikupa huyo, hata kivazi unaweza ukasahau, maeeee...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah, ila tuache utani. Tusiongee tu kwa sababu tumeona picha zake tofauti tofauti. Kuna asilimia kubwa sana ya sisi wanaume kutaman kumpiga show za kibabe huyo dada ili akasimulie wenzake.

Ni mkali na amesimamia ukucha aisee, ila huwez amin kwmb taa nyekundu ishawaka. Akikupa huyo, hata kivazi unaweza ukasahau, maeeee...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah. Mpwa umeandika kwa msisitizo saaana na Uchungu Sana Sana aiseeee!! Akikupa siku za kwanza utatumia Kondom Halafu baada ya hapo ni kufanya maombi tu! Nawaonea huruma Sana

You are strong than what you think...
 
Ndio Mpwa, Kwahio tayari tunakua na kinga mwilini ya kutosha tu, usiogope kujilipua lakini kabla ya kujilipua fikiria kuhusu watoto wako, familia yako, ndugu zako, mali zako na mateso yake, plus Denial kutoka kwa ndugu. Fanya ile inaitwa Cost benefit analysis

You are strong than what you think...
 
Back
Top Bottom