Hizi nyumba za ibada kwa kweli zimenichanganya sana

We huna fact, fanya uchunguz kwanza wa hayo madhehebu ndio uje na hoja hapa. Waislam wana madhehebu makuu ya Shia na Sunni. 99% ya Waislam wa Africa Mashariki ni Sunni. Kwa mfano hapa Dar misikiti ya Shia inahesabika. Hiyo misikiti mingi mtaa mmoja ni kawaida tu na wala sio madhehebu. Hata wale wavaa surual nusu na wafuga ndevu (answar sunni) wanaweza kusali misikiti ya kawaida lakini ni vigumu kwa muislam wa kawaida kusali kwa wale wa answari sunni ndio maana waweza kukwambia dhehebu tofauti lakini kiuhalisia wote wamoja.
Na makanisa ni kitu cha kawaida tu, uliona wapi Mkatoliki akasali Anglikana, TAG au FPCT? Ni lazima watofautiane tu hawawez kusali pamoja.
Twende upande wa pili, mbona sinza kila sehemu bar? Guest house na lodge hujashangaa huko. Labda nikuulize, lengo lako hasa lilikua kuchunguza nini?
 
TAHADHARI:- hiki ninachokileta hapa kisichukuliwe kwa mitazamo tofauti, maana humu kuna watu mabingwa sana wa kugeuza mada na kuonekana kwamba labda nimelenga kwny ubaguzi au kashfa za kidini....

Kama mmenielewa twendeni sasa....

Kuna sehemu flani nilitembelea, na ktk mizunguko ya hapa na pale katika mitaa miwili tu nikajikuta nahesabu MISIKITI ipatayo saba (7) ambayo baada ya kuuliza nikaambiwa kuwa wote ni waislamu lakin madhehebu tofauti......!!!!!! Nikashangaa lakin pia nikavutika kuhesabu na nyumba za ibada za upande wa pili (za wakristo) ktk mitaa ile ile miwili.

Nikakuta kuna makanisa manne ya madhehebu ya kilokole huku yote yakiwa na majina tofauti tofauti na pia ni mali binafsi ya wachungaji huku kila moja likiwa na kauli mbiu tofauti.....!!! Mshangao ukaongezeka.

Nikaona hapana nisinyamaze, nikaamua kuuliza kwa wenyeji kuhusu wapi yalipo makanisa ya madhehebu ya kikatoliki (maana nilihisi kuwa labda wao wametengewa maeneo yao)......

Nikajibiwa kwamba kwa maeneo hayo kanisa la RC lipo moja tu!! Nikastaajabu.....nikaongezewa kwamba RC huwa haina utaratibu wa kurundika makanisa yao sehemu moja!!!

Nauliza kwa hao wengine nao kwann wasiwe na huo utaratibu wa kutorundikana?

We huna fact, fanya uchunguz kwanza wa hayo madhehebu ndio uje na hoja hapa. Waislam wana madhehebu makuu ya Shia na Sunni. 99% ya Waislam wa Africa Mashariki ni Sunni. Kwa mfano hapa Dar misikiti ya Shia inahesabika. Hiyo misikiti mingi mtaa mmoja ni kawaida tu na wala sio madhehebu. Hata wale wavaa surual nusu na wafuga ndevu (answar sunni) wanaweza kusali misikiti ya kawaida lakini ni vigumu kwa muislam wa kawaida kusali kwa wale wa answari sunni ndio maana waweza kukwambia dhehebu tofauti lakini kiuhalisia wote wamoja.
Na makanisa ni kitu cha kawaida tu, uliona wapi Mkatoliki akasali Anglikana, TAG au FPCT? Ni lazima watofautiane tu hawawez kusali pamoja.
Twende upande wa pili, mbona sinza kila sehemu bar? Guest house na lodge hujashangaa huko. Labda nikuulize, lengo lako hasa lilikua kuchunguza nini?
Alikuwa atoka usingizini,sasa ameshaamka,amejuwa kosa lake.
 
hata hiyo RC ni wakristo pia, hapo hujatoa hoja ya msingi ndugu kafanye uchunguzi wako upya, yani umeshindwa kujiuliza kwanini bar zinarundikana unajiuliza Nyumba za Ibada???? umeshindwa kujiuliza kwanini guest house zinarundikana wakati zinatumiwa na wenyeji unahoji kuhusu Nyumba za ibada??

Sikubaliani na hili la kulinganisha guest house (biashara) na makanisa labda uniambie kuwa hayo makanisa ya kilokole nayo ni biashara tu hapo nitakuelewa.
 
Makanisa mengi sasa yapo kibiashara na ndo maana kila mtu anakuja na sera zake. Ukiona yamelundikana hivyo jua kuwa kila mmiliki hapo anajinadi ili kanisa lake liwe juu.
Kumbuka kuwa makanisa mengi siku hizi hayana mfumo wa uongozi na utawala. Mwanzilishi ndiye mmikili na kila kitu. Mfano Antony Lusekelo na kanisa lake, Rev. Kakobe et cetera. Hawa mfumo wao wa uongozi ndani ya kanisa haueleweki, tofauti na KKKT, RC, SDA na wengine ambao mfumo unajulikana kuanzia kundi hadi ngazi ya dunia....!
 
Ninashangaa kuona wakristo wanakashfiana na kutoleana maneno machafu hapa... Hivi ndivo ustaarabu wa kikristo ulivyo... Ipo wapi ile amri ya kumpenda jirani?? Kwa minajili hii tutawezaje kuwatofautisha na watu wa mataifa?? Matusi, kejeli, chuki si mafundisho ya dhehebu lolote la kikristo...
 
TAHADHARI:- hiki ninachokileta hapa kisichukuliwe kwa mitazamo tofauti, maana humu kuna watu mabingwa sana wa kugeuza mada na kuonekana kwamba labda nimelenga kwny ubaguzi au kashfa za kidini....

Kama mmenielewa twendeni sasa....

Kuna sehemu flani nilitembelea, na ktk mizunguko ya hapa na pale katika mitaa miwili tu nikajikuta nahesabu MISIKITI ipatayo saba (7) ambayo baada ya kuuliza nikaambiwa kuwa wote ni waislamu lakin madhehebu tofauti......!!!!!! Nikashangaa lakin pia nikavutika kuhesabu na nyumba za ibada za upande wa pili (za wakristo) ktk mitaa ile ile miwili.

Nikakuta kuna makanisa manne ya madhehebu ya kilokole huku yote yakiwa na majina tofauti tofauti na pia ni mali binafsi ya wachungaji huku kila moja likiwa na kauli mbiu tofauti.....!!! Mshangao ukaongezeka.

Nikaona hapana nisinyamaze, nikaamua kuuliza kwa wenyeji kuhusu wapi yalipo makanisa ya madhehebu ya kikatoliki (maana nilihisi kuwa labda wao wametengewa maeneo yao)......

Nikajibiwa kwamba kwa maeneo hayo kanisa la RC lipo moja tu!! Nikastaajabu.....nikaongezewa kwamba RC huwa haina utaratibu wa kurundika makanisa yao sehemu moja!!!

Nauliza kwa hao wengine nao kwann wasiwe na huo utaratibu wa kutorundikana?

kwani hizi nyumba za ibada kazi yake nini
 

Attachments

  • Ccm Jene.jpg
    Ccm Jene.jpg
    49.3 KB · Views: 244
Hata ukiangalia upande wa elimu hao waliorundikana mtaa mmoja makanisa na misikiti kumi huwa wanaongoza kutoa Zero na kuliabisha Taifa.....
Vipi hujalishuhudia hilo....Au ndo utafuteni Ufalme wa Mungu na Itafuteni Akhera....Aiseeee
Kama unadhani shule za wakatoliki tu ndio zinafanya vizuri, angalia upya takwimu za 10 bora kitaifa kuanzia msingi, O level na A level, shule za madhehebu mengine zimeanza kufanya vizuri sana, shule za katoliki zilizowika zamani kama Kaengesa, Maua, st mary mbalizi zimebaki historia!
 
Mimi huwa nawashangaa hawa waislam zaidi mana hujenga misikiti mingi af midogo sana sasa kwann wasiunganishe nguvu kama wafanyavyo RC mana sanyingine hizi nyumba za ibada inabidi ziwe na mvuto kidogo siyo ilimradi tu
 
Kaka kama ulikuja kuutangaza ukatoliki wako kuwa nyiye ndo bora,umepotoka. Kujiona kuwa nyiye mnakaa katika umoja tu tangu miaka huo mtaa/kijiji kilipoanzishwa mpaka leo inaonesha jinsi mlivyo pinduka kabisa.
Katoliki mnaongeza kondoo :Biologicaly" wakati hao hao ulio waponda wana Evangelize imani zao. Kutofautiana mtazamo zi dhambi, dhambi ni kulala usingizi wa pono wakati jirani yako anakufa na dhambi yake bila kujua kuwa toba ipo hapo karibu naye. Ndo maana wakakuambia; RC wako kuleeeee si kwamba hawajui kuwa hao nao wapo lakini wamejilalia usingizi.

Kiswahili kigumu aisee hivi mtoa mada kaponda au katoa maoni yake kuhusu kulundikana kwa nyumba za ibada sehemu moja?
 
We huna fact, fanya uchunguz kwanza wa hayo madhehebu ndio uje na hoja hapa. Waislam wana madhehebu makuu ya Shia na Sunni. 99% ya Waislam wa Africa Mashariki ni Sunni. Kwa mfano hapa Dar misikiti ya Shia inahesabika. Hiyo misikiti mingi mtaa mmoja ni kawaida tu na wala sio madhehebu. Hata wale wavaa surual nusu na wafuga ndevu (answar sunni) wanaweza kusali misikiti ya kawaida lakini ni vigumu kwa muislam wa kawaida kusali kwa wale wa answari sunni ndio maana waweza kukwambia dhehebu tofauti lakini kiuhalisia wote wamoja.
Na makanisa ni kitu cha kawaida tu, uliona wapi Mkatoliki akasali Anglikana, TAG au FPCT? Ni lazima watofautiane tu hawawez kusali pamoja.
Twende upande wa pili, mbona sinza kila sehemu bar? Guest house na lodge hujashangaa huko. Labda nikuulize, lengo lako hasa lilikua kuchunguza nini?

Madhehebu tofauti ila Mungu yuleyule sasa kwani msiwe pamoja?
 
Mimi huwa nawashangaa hawa waislam zaidi mana hujenga misikiti mingi af midogo sana sasa kwann wasiunganishe nguvu kama wafanyavyo RC mana sanyingine hizi nyumba za ibada inabidi ziwe na mvuto kidogo siyo ilimradi tu

Hapa ndipo ujinga wa makafiri unapojidhihirisha! Kuamini kuwa Waislamu hawajui walitendalo bali wajifunze kwa Wakristo! Ibada ZA Wakristo ni mara moja kwa wiki, jumapili day time! Ibada ya kiislam ni daily five times, usiku na mchana! Hivyo misikiti yapaswa kuwa karibu na nyumbani kadri iwezekanavyo!
 
Kama unadhani shule za wakatoliki tu ndio zinafanya vizuri, angalia upya takwimu za 10 bora kitaifa kuanzia msingi, O level na A level, shule za madhehebu mengine zimeanza kufanya vizuri sana, shule za katoliki zilizowika zamani kama Kaengesa, Maua, st mary mbalizi zimebaki historia!

Ongea kwa ushahidi ndugu...

Tifautisha Catholic Seminary na Catholic Managed School..

Seminary zimeyumba ila High School ni moto wa kuotea mbali....
 
Kijana rudi kwenye bible utapata majibu yote yaliyocemwa Hayana budi kutokea kabla ya kuja masihi Issa bin Mariam or Jesus
 
Back
Top Bottom