Hizi Nukuu zina lengo gani kwa Serikali yetu?

Hizi Nukuu zina lengo gani kwa Serikali yetu?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
NUKUU ZA LEO

A). "Chama kinachohitaji polisi na magereza ili kushinda uchaguzi tayari kimeshashindwa kabla ya uchaguzi" Nelson Mandela.

šŸ˜Ž. "Uhalali wa kiongozi haupimwi kwa nguvu ya silaha bali kwa nguvu ya hoja na uwezo wa kuwaunganisha anaowaongoza" Mahatma Ghandhi.

C). "Uhaini si kuzuia serikali kufanya kazi yake, uhaini wa kweli ni kuzuia wananchi kufanya siasa na kuzuia wasieleze hisia zao kwa viongozi" Kiiza Besigye.

D). ā€œKama dola inamfumba mdomo raia wake mwenye maoni, basi dola hiyo ni mbaya kuliko shetani, maana Shetani hajawahi kuzuia maoni hata ya wale wanaompinga na kumkemea.ā€ Ngugi wa Thiong'o.

E). "Askari wanaoficha sura zao wanajua wanatekeleza amri isiyo halali, maana hakuna amri halali inayotekelezwa gizani. Haki huishi katika mwanga wa uwajibikaji.ā€ Hakainde Hichilema.
 
"Askari wanaoficha sura zao wanajua wanatekeleza amri isiyo halali, maana hakuna amri halali inayotekelezwa gizani. Haki huishi katika mwanga wa uwajibikaji.ā€ Hakainde Hichilema.

Na Askari magereza wa Lisu ni ukweli kabisa dhambi inatabia ya kupenda giza
 
Mungu anasikia maombi ya wenye HAKI Mungu anasikia vilio na mateso ya wenye haki ,Hakuna binadamu bora zaidi ya mwingine ,kila mtu ATAVUNA ALICHOPANDA ,Malipo ni hapahapa duniani.Watesi wanaodhulumu haki za wengine ma kuwatesa,kuwateka na kuwauwa watu,kuwafunga magerezani,kubomoa makanisa ,kukataza waumini wa dini nyingine wasiamuabudu Mungu wa kweli aliye haki,kufisadi na kufuja fedha za wanyonge walipa kodi mafukara,kuuza rasilimali na urithi wa masikini wanyonge,kukopa mikopo mikubwa kwa dhamana ya masikini walipe deni la taifa huku hizo fedha zikitapanywa na kuliwa na wachache,familia wanawake walioachwa wajane kwa waume zao kutekwa na kuuwawa bila hatia DAMU ZAO zisizo na hatia zinamlilia Mungu zikidai haki,watoto walioachwa wadogo yatima wakipoteza baba zao waliotekwa na kuuwawa ,
MACHOZI YOTE HAYA YA WALIO ONEWA/UMIZWA YANAFIKA MBELE ZA MUNGU KILA SEKUNDE YANALALAMIKA NA KUPIGA KELELE YA KUDAI HAKI HAKI HAKI...HAKI......HAKI.....HAKI....HAKI...
HAKI......
.....HAKI.....
.....HAKI....

...HAKI...
HAKI.....HAKI....HAKI....HAKI....HAKI...HAKI..
 
Nukuu zote hizo zina uhalisia kwenye hii nchi yetu ya Burundi.
 
Back
Top Bottom