restore 1985
Member
- Dec 1, 2017
- 93
- 126
- Thread starter
- #21
Nashukuru.....bt ninayafuta hayo maneno uliyosema kwamba stapata kazi nayafuta na yakurudie ww mwenyewe na familia yako kwa Jina la YesuKazi hupati, baba yangu alikuwa anawaita watu kama nyie "malango kushule" akimaanisha AKILI SHULENI TU ila akili za kibinadamu na kuweza kuyamaster mazingira ZERO.
Head yako tu inaonyesha wewe ni much know kiasi kwamba ukisaidiwa kupata kazi hata salamu kumpa aliyekusaidia hatapata.