Hizi ni sifa zangu, natafuta Kazi

Kazi hupati, baba yangu alikuwa anawaita watu kama nyie "malango kushule" akimaanisha AKILI SHULENI TU ila akili za kibinadamu na kuweza kuyamaster mazingira ZERO.
Head yako tu inaonyesha wewe ni much know kiasi kwamba ukisaidiwa kupata kazi hata salamu kumpa aliyekusaidia hatapata.
aisee kaka mungu akusamehe sana. hata km umeshapata kaz usidharau wengine' na kutoa maneno ya kejeli. huwez jua kesho utaishi wap, jifunze kua na akiba ya maneno. km ww kijana unakua na roho mbaya hivyo kimawazo tu, je angekuja kukuomba hela ya kula ungesemaje, ushauri wangu jaribu kutembelea watu weny shida km wagonjwa, masikini wanaoshindwa kupata hata mlo mmoja wakupe historia ya maisha yao walao moyo ya ubinadam utakuingia... isee ww hata ukiwa baba wa familia huwezi acha maneno ya dharau
 
Mimi sijamtukana huyu ndugu, nilikuwa namfundisha ustaarabu tu. Huwezi kusema mnipe kazi.
Hili neno linatumiwa na vijana waliojilea tu.
Naipenda kazi yangu kwani inaniwezesha kukopa na kufanya mambo mengine kama ujenzi.
Na kupitia kazi yangu nimeweza kupata mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo na duka la rejareja.
Sitaacha mpaka nitakapoamua.
Kuajiriwa si utumwa, hata waliojiajiri wengine wanafanya kazi masaa mengi sans while production ni ndogo sana.
Hongera sn......
 
Mimi sijamtukana huyu ndugu, nilikuwa namfundisha ustaarabu tu. Huwezi kusema mnipe kazi.
Hili neno linatumiwa na vijana waliojilea tu.
Naipenda kazi yangu kwani inaniwezesha kukopa na kufanya mambo mengine kama ujenzi.
Na kupitia kazi yangu nimeweza kupata mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo na duka la rejareja.
Sitaacha mpaka nitakapoamua.
Kuajiriwa si utumwa, hata waliojiajiri wengine wanafanya kazi masaa mengi sans while production ni ndogo sana.
Ila ukae ukijua wengi walikuwa na kazi kama ww tena serikalini nadhan kinachokupa kiburi eti umeajiriwa serikalin eti una uhakika wa kula mpaka unastaafu lakn nikwambie wanadamu tunapanga lakin Mungu naye ana yake.......jitape sn dharau sn lakini ipo sku...
 
Mimi sijamtukana huyu ndugu, nilikuwa namfundisha ustaarabu tu. Huwezi kusema mnipe kazi.
Hili neno linatumiwa na vijana waliojilea tu.
Naipenda kazi yangu kwani inaniwezesha kukopa na kufanya mambo mengine kama ujenzi.
Na kupitia kazi yangu nimeweza kupata mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo na duka la rejareja.
Sitaacha mpaka nitakapoamua.
Kuajiriwa si utumwa, hata waliojiajiri wengine wanafanya kazi masaa mengi sans while production ni ndogo sana.

Sawa mkuu.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom