Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

Series niliyoiangaliaga ni Into the bad land na prison break Na Naagin ya kihindi tu..Series siangaliagi kabisa Mimi..Mimi n mpenzi wa movie tu,Na movie zangu ni za Ma niggas,Comedy na Drama basi.
1:Fatherhood
2:Coffee and Kareem
3:Uncle Drew
4:Barbershop
5:Friday
6:Titanic
7:Tom and Jerry 2021
8:Girls trip
9:Night school
10:What men want etc.
 
Katika kila series utakuta kuna mambi flani ya kitoto ila nyengine zimezidi
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Hii Kali aisee uongo uliotiwa chumvi
 
Mitizamo inatofautiana wapo wanaozipenda hata watu wazima. Zamani alikuwepo mwimbaji mmoja anaimba nyimbo za kitoto za kipuuzi. Mr. Nice. Walikuwepo mashabiki wake wengi na aliuza sana.but mimi ilikuwa siwezi sikikiz nyimbo zake hata unipe na pesa.
Sijui alikuwa anaimba vitu gani mpaka akapendwa kiasi kile!!
 
Niliangalia series ya Supergirl episode kama 3 tu nikaona ni utopolo tu.

kuna dude linaitwa raised by wolves hii ngoma kuna sehemu waliniacha njiani sikulielewa kabisa labda s2 ikaeleweka.

Warrior nun hii iliisha kipumbavu ata sikuelewa
 
Korea na Spain series zao zinakuwa zikiongozwa na makampuni mkubwa kama Netflix lkn wakiongoza wenyewe zinakuwa mbovu sana
 
Povu mujarabu kabisa 🀣🀣🀣
 
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…