hizi ni pikipiki au baiskeli?

JAYJAY

JF-Expert Member
Oct 31, 2008
7,509
7,539
kuna ubunifu wa kuifunga injini baiskeli, natumaini wadau mmeshaziona baiskeli za aina hiyo. sasa baiskeli ya aina hiyo inaangukia kwenye kundi lipi kati ya magari/pikipiki ambayo husajiliwa au baiskeli/maguta ambayo hayahitaji kusajiliwa?
 
Back
Top Bottom