Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,638
- Thread starter
- #121
Nishakuja pmNjoo pm rafiki yangu. Maana mpaka nimekuonea huruma. Lakini kiufupi umeshaolewa na pepo mchafu na umeshawazalia watoto. Na hautakuja kuzaa watoto wa kawaida na kama ukizaa watakufa. Pia utakuja kuolewa na ukiolewa either Mwanaume atakufa maana mumeo ambaye ni pepo litamuua. Mimi niliwahi kuwa katika scenario kama yako ila mimi nilikuwa nafanya mapenzi na mtu nisiyemjua. Kila uhusiano niliouanzisha ulikufa mwishoni nilipata mpenzi mlokole alinipenda kweli na mimi nikamhadithia tatizo langu. Akanipeleka kanisani kwao nikafunguliwa. Na sasa hivi ndio mke Wangu. Lakini vita ilikuwa kubwa mpaka Leo imeniachia maumivu. Mapepo hayakuachii kirahisi