cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Wananchi wa Tanzania msisahau hizi kashifa za ufisadi zimewahi kutikisa nchi na nje ya nchi na wahusika ni wanaccm na si upinzani
Na cha ajabu mpaka sasa makada wa ccm waliowahi kutuhumiwa na kashifa hizo wapo ccm na wanakula bata waliopo gerezani ni watu wengine kabisa
Richmond-EL
Kagoda-RA
Escrow-WN,AT,AC
EPA
MEREMETA
Na nyingine nyingi
Ccm bwana,mapapa wapo mitaani,dagaa gerezani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na cha ajabu mpaka sasa makada wa ccm waliowahi kutuhumiwa na kashifa hizo wapo ccm na wanakula bata waliopo gerezani ni watu wengine kabisa
Richmond-EL
Kagoda-RA
Escrow-WN,AT,AC
EPA
MEREMETA
Na nyingine nyingi
Ccm bwana,mapapa wapo mitaani,dagaa gerezani
Sent using Jamii Forums mobile app