JWANY DA KING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 201
- 183
Umenikera Sana ngoja Nile makongoro ya sungura nikimaliza nakuja kutoa ushauri wangu.
Raha ya kupiga show za viwango vya Bayern, akikusikia tu jina tayari kashaloa
Siku zote hawa wanaojiita wasomi ndo huwa na akili za kinyumbuThis gender eeeeh!
Kama taifa tuna safari ndefu sana,naposema ndefu namaanisha ndefu haswa,yaani hawa ni akili za wasomi wapo chuo je huko mtaani waliobaki wana akili za aina gani?hakika ni kazi!
Usimtishe mwenzako miss rodgersUnachokitafuta utakipata soon
Simtishi namwambia ukweliUsimtishe mwenzako miss rodgers
Wanasema mtoto akililia wembe mpeSimtishi namwambia ukweli
Tujadili akili zipi sasa maana hapo kuna akili mbili...ya mwanaume na mwanamke na mimi naona zote mbovu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Misoprostol chap sanaDuuh unaweza kutoa mimba ya miezi
Tuambiane wanafanyaje fanyaje jamani
Duu mada za facebook za kutanguliza mlembo alaf story fek, sijui wanataka kutunga vitabu.Kashatoa uzito mkuu anataka tumukubalie arudi kwa x
Stori za Idd Makengo..Duu mada za facebook za kutanguliza mlembo alaf story fek, sijui wanataka kutunga vitabu.
KUMBE NDIYE MTOTO PEKEE MUNGU ALIYEKUA KAMUWEKA,yaani umewaza ndani ya box kama upo na mimi kichwani.Yaani unamkomoa mtu kwa kutumia mwili wako, mbususu yako mwenyewe mmh hizi akili za kitoto hizi, mwambie tu fainali uzeeni anatoa mimba sahivi kumbe ndiye mtoto pekee Mungu aliyekua kamuwekea.