goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,153
3. Malaya kitandani.
Changanua vyema ulichoandika hapo.
[emoji4] [emoji1]
Changanua vyema ulichoandika hapo.
[emoji4] [emoji1]
Tunazungumzia mwanamke mzuri mkuu.Si kweli kwani wengi wao ni waigizaji wa bongo muvi na tunawajuwa wanawake wa bongo muvi si vigezo wa kuwa na mke bora kwani wale ni wasanii tu. Unataka kutuambia Wema Sepetu anaweza kuwa mke bora kweli? This will never happen, huwezi kumgeuza changu kuwa mke hata siku moja.
Tunazungumzia mwanamke mzuri mkuu.
Hatuzungumzii mke bora...
hapa pana utata...siunajua ili team iwe bora lazima ipate mechi nyingi za kujipima ubavu?3. Malaya kitandani.
Changanua vyema ulichoandika hapo.
[emoji4] [emoji1]
Wapi?Nakazia hapo
Hizo sababu tatuWapi?
Haswa hyo ya tatu...Hizo sababu tatu
Hiyo zaidiHaswa hyo ya tatu...
Vipi bado unatandika maziwa ya kiholanzi au ushaenda kulala?Hiyo zaidi
Niko na Red Label hapa. Halafu nikalale kesho niwahi mkoani.Vipi bado unatandika maziwa ya kiholanzi au ushaenda kulala?
mwenye **** mnatoMwanamke mzuri ni yule anayejua kutafuta chapaa mwenyewe,anayejua dhamani yake na anayejitambua
Hahahaa uwiii[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nmebakisha kwa ajili yako
C unajua Bado nakumbuka
Nafkiriwa
Kwani nini maana ya uzuri?na kuna tofauti gani kati ya uzuri na ubora wa mwanamke?[emoji16][emoji16][emoji16]Tunazungumzia mwanamke mzuri mkuu.
Hatuzungumzii mke bora...
Nakuapia wa hivyo hajawahi zaliwa kabisa hasa1-4 katika hii dunia. Ukitarajia hivyo utangoja mpaka mvi aiseeMwanamke mzuri ni:
1.mnyenyekevu
2.mtiifu
3.mwaminifu
4.mvumilivu
5.mwenye kiasi
6.hodari
7.mwenye hofu ya Mungu
Njoo nikujibu hizo sababu tatu, (P)rofessor (M)zigua 90. [emoji22] [emoji17] [emoji120]Hizo sababu tatu
Hahahahaa. Yani wewe unavyojua kuidadavua prime ministerNjoo nikujibu hizo sababu tatu, (P)rofessor (M)zigua 90. [emoji22] [emoji17] [emoji120]
Duuuuuhhhmwenye **** mnato