Hizi ndizo sifa za mwanamke mzuri

Hizi ndizo sifa za mwanamke mzuri

Hata dunia ibadilike vipi na mambo yabadilike vipi lakini mwanamke mzuri ni mwenye sifa hizi

Mwanamke mzuri ni yule

1. anayejiheshimu mtaani,

2. Hodari jikoni

3.malaya kitandani.......
Huwezi kupata mwenye sifa zote hapo,Mungu anakusudi sana
 
Mapenzi mapenzi mapenzi hayana jibu sahihi ni wewe unavyoona
The good thing is sijawahi kuwa na imani kabisa narudia kabisa na wanawake isipokiwa mama yangu tu hawa wengine naishi nao kwa mazoea baasi. Don't expect anything big from these creatures
 
The good thing is sijawahi kuwa na imani kabisa narudia kabisa na wanawake isipokiwa mama yangu tu hawa wengine naishi nao kwa mazoea baasi. Don't expect anything big from these creatures
Wapo wema tu mkuu....
 
Mahitaj yanatimiziwa na yy
Akiwa anajitambua

Yan ile wanasema Ukishikwa
Shikamana
Huyo kataja matatu, sawa anajiheshimu, jikoni huachi matumizi yakutosha au yasioeleweka napika nini kizuri, malaya kitandani hivi hapo analaumiwa vipi mke ingali ni ushirikiano, men mvivu hapo mke atakuwaje nanilihii wengi wala viepe hakuna kitu kuna dada alikuwa analalamika akimwambia round 1 tu jamani hatuongezi jibu lake unataka kuniua?
 
Huyo kataja matatu, sawa anajiheshimu, jikoni huachi matumizi yakutosha au yasioeleweka napika nini kizuri, malaya kitandani hivi hapo analaumiwa vipi mke ingali ni ushirikiano, men mvivu hapo mke atakuwaje nanilihii wengi wala viepe hakuna kitu kuna dada alikuwa analalamika akimwambia round 1 tu jamani hatuongezi jibu lake unataka kuniua?

Hapa nmebd tu nicheke
 
Huyo kataja matatu, sawa anajiheshimu, jikoni huachi matumizi yakutosha au yasioeleweka napika nini kizuri, malaya kitandani hivi hapo analaumiwa vipi mke ingali ni ushirikiano, men mvivu hapo mke atakuwaje nanilihii wengi wala viepe hakuna kitu kuna dada alikuwa analalamika akimwambia round 1 tu jamani hatuongezi jibu lake unataka kuniua?
Hahahaha
 
Yule anayejua kinidekea kwa sauti ya kubana pua mpaka nikahonga kila kitu nilicho nacho mifukoni....


Si kweli kwani wengi wao ni waigizaji wa bongo muvi na tunawajuwa wanawake wa bongo muvi si vigezo wa kuwa na mke bora kwani wale ni wasanii tu. Unataka kutuambia Wema Sepetu anaweza kuwa mke bora kweli? This will never happen, huwezi kumgeuza changu kuwa mke hata siku moja.
 
Back
Top Bottom