EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,534
- Thread starter
- #41
Kabisa mkuufather unaongea na watu wasiojitambua majority ya wa Tz ni wapuuzi NATO kama NATO ina masinich wengi German ni snich wa kwana trust me German bado ndoto zao zinaendelea saiz wao ndo wenye sauti ulaya soon watatamani kiti cha USA si unaelewa binadamu hatutosheki
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app