ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 7,070
- 19,193
Nchi nyingi za Mashariki ya kati na Asia ya kati zina sheria kali sana linapo kuja suala la kukabiliana madawa ya kulevya,hizi ndo nchi ambazo ukikamatwa na madawa ya kulevya kukiepuka kitanzi sijui ashuke malaika gani.
(1) Iran - Ndani ya Iran ni bora ukamatwe ukiifanyia upelelezi Israel au Marekani lakini usiombe ukamatwe na aina yeyote madawa ya kulevya utataga kiufupi hakuna muujiza wakukunusuru na kitanzi,kesi zinazo husu madawa ya kulevya hukumu zake huwa zinatekelezwa ndani ya muda mfupi sana.
(2) Saudi Arabia - hii na yenyewe hutoboi.
(3) Indonesia - hutoboi.
(4)Malaysia - hutoboi
(5) Vietnam - hutoboi hata huyo mkenya aliye kamatwa kwenye hiyo nchi atanyongwa tu hata dunia ipige kelele kiasi gani.
(6) Singapore - hutoboi
(7) China - Japo kuwa nao wana sheria kali kuhusu madawa ya kulevya lakini kuna wakurugwa kibao wametoboa kwenye kesi kama hizo wakahukumiwa kwenda jera tu na si kunyongwa.
Lakini pamoja na hayo bado wakurungwa wanajitoa muhanga na kuna wengine huwa wanafanikiwa kupenya.
(1) Iran - Ndani ya Iran ni bora ukamatwe ukiifanyia upelelezi Israel au Marekani lakini usiombe ukamatwe na aina yeyote madawa ya kulevya utataga kiufupi hakuna muujiza wakukunusuru na kitanzi,kesi zinazo husu madawa ya kulevya hukumu zake huwa zinatekelezwa ndani ya muda mfupi sana.
(2) Saudi Arabia - hii na yenyewe hutoboi.
(3) Indonesia - hutoboi.
(4)Malaysia - hutoboi
(5) Vietnam - hutoboi hata huyo mkenya aliye kamatwa kwenye hiyo nchi atanyongwa tu hata dunia ipige kelele kiasi gani.
(6) Singapore - hutoboi
(7) China - Japo kuwa nao wana sheria kali kuhusu madawa ya kulevya lakini kuna wakurugwa kibao wametoboa kwenye kesi kama hizo wakahukumiwa kwenda jera tu na si kunyongwa.
Lakini pamoja na hayo bado wakurungwa wanajitoa muhanga na kuna wengine huwa wanafanikiwa kupenya.