Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,366
- 3,561
Nimekua nikipokea msg hii katika simu yangu
Mwananchi endapo utapata
simu/ujumbe wa kulipa
kodi, kutuma pesa, kushinda
droo, kutoka kwa mtu
usiemfahamu. Usikubali
kutuma bila kuhakiki
Kweli hawa ni Polis au ni airtel line yangu. Hizi message kila wiki nazipata kama dozi fulani. Waache usumbufu.
Mwananchi endapo utapata
simu/ujumbe wa kulipa
kodi, kutuma pesa, kushinda
droo, kutoka kwa mtu
usiemfahamu. Usikubali
kutuma bila kuhakiki
Kweli hawa ni Polis au ni airtel line yangu. Hizi message kila wiki nazipata kama dozi fulani. Waache usumbufu.