Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,447
I am just curios kwa vile kesi hizi tulisikia zikitangazwa kuwa zitafunguliwa lakini baada ya hapo naona kimya tu:
(1) Mbunge Nimrod Mkono wa Musoma Vijijini dhidi ya Dr. Slaa kwa kumwita fisadi
(2) Ridhiwani Kikwete dhidi ya Dr. Slaa na Mchungaji Mtikilia kwa kuingilia mambo ya biashara zake
(3) Mange Kimambi (Binti wa Kiislamu) wa Dubai dhidi ya mwanasheria mmoja wa IMMMA kwa kumdhalilisha.
(1) Mbunge Nimrod Mkono wa Musoma Vijijini dhidi ya Dr. Slaa kwa kumwita fisadi
(2) Ridhiwani Kikwete dhidi ya Dr. Slaa na Mchungaji Mtikilia kwa kuingilia mambo ya biashara zake
(3) Mange Kimambi (Binti wa Kiislamu) wa Dubai dhidi ya mwanasheria mmoja wa IMMMA kwa kumdhalilisha.