Nibiru
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 549
- 770
Dah! JBL ni kitu kimoja makini sana, sema tu umasikini unatuponza.sasa sony tu mkuu umechachawa ukipata soundbar tu ya JBL sindo itakua balaa.. anyways hao jamaa wanajali quality sana...tofaut na haya masabufa yakichina
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app