Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,448
Hakuna miembe ya mbegu fupi mzee...!Mkuu weka picha halafu wengi tunapendelea mbegu fupi zile! Weka na bei.
What happens ni kwamba, kwa sababu ile miti imefanyiwa grafting then huanza kuzaa ikiwa midogo lakini kadiri miti inavyokuwa ndivyo inavyokuwa mikubwa. Huwa mikubwa sana mpaka ukashangaa ukionyeshwa.
Wakulima wa embe wanachofanya ni kuipunguza ile miti periodically(pruning) kwa sababu ikiwa mikubwa sana zoezi la kuvuna na kuweka dawa huwa ni gumu...hayo mazoea kuiona midogo midogo ndiyo yanafanya watu wadhani ile miembe haikui...!