Kaboya Kenneth
JF-Expert Member
- Aug 4, 2009
- 286
- 277
Nimelipia ijumaa tarehe 8/5/2020, niliambiwa nitachukua j/3. J/3 nimekosa, j/4 nimekosa! Leo j/5 nipo getini foleni sina uhakika wa kupata.utaratibu ni mbaya! Gari za wakubwa yanapakia yanaondoka! Ni shida!