Hizi biashara zimevamiwa

Hizi biashara zimevamiwa

IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Ulitaka ufanye peke ako ,hizi ni dalili za Roho mbaya
Sio roho mbaya. Yan ukweli sera zetu za inchi na serikali ni hovyo kaaa mwenyew fikilia biashara gani utaifanya kwa mtaji mdogo ikakupa faraja na ww unajishughurisha Kwamba utapata ata tuvihela twa kusogeza siku. Hamna zaidi ya bodaboda, mpesa , kigenge na kiduka Cha mahitaji madogomadogo. Sekta zingine ka kilimo, viwanda vidogo vidogo na madini zimelemazwa kwa sera mbovu nivigumu kujishughurisha nazo kwa mitaji midogo.
 
Sio roho mbaya. Yan ukweli sera zetu za inchi na serikali ni hovyo kaaa mwenyew fikilia biashara gani utaifanya kwa mtaji mdogo ikakupa faraja na ww unajishughurisha Kwamba utapata ata tuvihela twa kusogeza siku. Hamna zaidi ya bodaboda, mpesa , kigenge na kiduka Cha mahitaji madogomadogo. Sekta zingine ka kilimo, viwanda vidogo vidogo na madini zimelemazwa kwa sera mbovu nivigumu kujishughurisha nazo kwa mitaji midogo.
Sasa Nime kuelewa,
Tatizo kubwa ni kama nchi iko locked kimawazo ivyo hamna fursa za mawazo mapya na hata yakiwepo hakuna support ya kufanya wazo liwe reality , ivyo watu wana tumia mawazo yaliyopo tayari
 
Sasa hivi naona Tanzania imekuwa nchi ya fremu za biashara .
Leo nimekwenda kariakoo majengo yote yanajengwa vifrem. Unakuta mtu ana kifrem chake chembachemba anauza zake chupi fresh maisha yanaenda analipa kodi anafanya mambo yake.
Kuna nchi za Asia Kuna mitaa ina mashopping malls tupu unatoka kwenye shopping mall moja unaingia jengine hapo tena unakodi gari kwenda kwenye shopping mall inayofuata jinsi yalivyokuwa yamechukua nafasi Kubwa.
Mimi pale kkoo sijaona shopping mall ni majengo tu ya ghorofa yamebananishwa chini kuna fremu juu appartment au hotel.
Mlimani City yenyewe ile huwezi ita ni shopping mall ila atilist panaelewekaeleweka
DDC pale napo wanajenga frem tupu, mtaani huku ndio usiseme watu hadi wanataka kuzibia majirani njia kwa kujenga frem.
Eti hadi JWTZ nao wanafanya biashara ya frem.
Kuna kipindi Dodoma halmashauri ilipiga marufuku ujenzi wa frem manake waliona zimezidi sana.
Tubadili mtazamo tungetakiwa kama kule kkko kuwe na mashopping mall ziwe na kila kitu.
Yaani nchi inakuwa ya mafrem tu hata kama hatuproduce sana tufikirie kiupana kidogo kko imeharibuwa sana na mafrem wajukuu zetu watapata shida sana kuibadili ile kko manake wengi watakuwa na maexposure ya nje ule uchafu wa pale kko watakuwa wanashangaa hawa wazee walifanya nini
 
Sasa hivi naona Tanzania imekuwa nchi ya fremu za biashara .
Leo nimekwenda kariakoo majengo yote yanajengwa vifrem. Unakuta mtu ana kifrem chake chembachemba anauza zake chupi fresh maisha yanaenda analipa kodi anafanya mambo yake.
Kuna nchi za Asia Kuna mitaa ina mashopping malls tupu unatoka kwenye shopping mall moja unaingia jengine hapo tena unakodi gari kwenda kwenye shopping mall inayofuata jinsi yalivyokuwa yamechukua nafasi Kubwa.
Mimi pale kkoo sijaona shopping mall ni majengo tu ya ghorofa yamebananishwa chini kuna fremu juu appartment au hotel.
Mlimani City yenyewe ile huwezi ita ni shopping mall ila atilist panaelewekaeleweka
DDC pale napo wanajenga frem tupu, mtaani huku ndio usiseme watu hadi wanataka kuzibia majirani njia kwa kujenga frem.
Eti hadi JWTZ nao wanafanya biashara ya frem.
Kuna kipindi Dodoma halmashauri ilipiga marufuku ujenzi wa frem manake waliona zimezidi sana.
Tubadili mtazamo tungetakiwa kama kule kkko kuwe na mashopping mall ziwe na kila kitu.
Yaani nchi inakuwa ya mafrem tu hata kama hatuproduce sana tufikirie kiupana kidogo kko imeharibuwa sana na mafrem wajukuu zetu watapata shida sana kuibadili ile kko manake wengi watakuwa na maexposure ya nje ule uchafu wa pale kko watakuwa wanashangaa hawa wazee walifanya nini
Daa!!! Umenikumbusha Terminal 21 shopping Mall, Bangkok hiyo kaka
 
Sasa Nime kuelewa,
Tatizo kubwa ni kama nchi iko locked kimawazo ivyo hamna fursa za mawazo mapya na hata yakiwepo hakuna support ya kufanya wazo liwe reality , ivyo watu wana tumia mawazo yaliyopo tayari
Yaani kabisa mfano wafanyabiashara wengi wana hela ila hawana washauri au hawataki kusikia ushahuri.
Kuna jamaa yangu ana hela zake mjanjamjanja juzi aliniambia anataka kununua nyumba (kiwanja ) kko ameambiwa panauzwa 2 bilions.
Nilimkatalia nikamwambia kwanini usiende kuwekeza kibaha pale hizo hela utanunua eneo kubwa hata kwa 1 bilion halafu 1 bilion unaliendeleza kwa kujenga shopping malll kubwa upangishe upangishe watu wenye makampuni au biashara kubwa hata kutok nje ya nchi
Jamaa kakataa kaniambia namletea mambo ya nje ameniambia ananunua hilo jengo kwa 2 bilions halafu atatafuta mbia wajenge wote ghorofa wapangishe .
 
Back
Top Bottom