Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Nina simu yangu iligoma kuwaka ghafla kwahiyo nikaamua kubadili betri na kuweka zingine nione kama itawaka, lakini haikuwaka na cha ajabu hata hizi betri nazo zimegoma kupeleka chaji, na hazioneshi kama zina chaji.
Kipindi naziweka kwenye simu zilikuwa na chaji, nimejaribu kuwasha simu ikakataa ndio nikaamua kuzitoa. Sasa ndio zimepata majanga hayo.
Mwenye uzoefu na tatizo hili anisaidie, nifanyeje ili betri hizi zirudi kwenye hali yake ya kawaida?
Nimejaribu kuchajia kwenye kobe napo bila mafanikio yoyote.
Msaada wenu tafadhali!. Asanteni
Kipindi naziweka kwenye simu zilikuwa na chaji, nimejaribu kuwasha simu ikakataa ndio nikaamua kuzitoa. Sasa ndio zimepata majanga hayo.
Mwenye uzoefu na tatizo hili anisaidie, nifanyeje ili betri hizi zirudi kwenye hali yake ya kawaida?
Nimejaribu kuchajia kwenye kobe napo bila mafanikio yoyote.
Msaada wenu tafadhali!. Asanteni