Duniani kote vipi kuhusu Mombasa na Nairobi nahiyo ndo tunaijua bado ambazo hatuzijuiDuniani? kote coastal cities huwa zinachangia sana uchumi wa nchi na ndipo miji mikubwa ya kibiashara ilipo na wawekezaji hupendelea kuwekeza kwa sababu ya uwepo wa bandari
Dar haitakuja kupigwa bao hata siku moja mkuu na hiyo mikoa uliyotaja
Mashine zote zilizo katika viwanda hivyo zilipitia bandari ya Dar na wanunuzi wengi wako Dar na Mchina aki-export atatumia bandari ya DarViwanda vya plywood vya wachina vilivyopo mkoa wa iringa na njombe
View attachment 2788751View attachment 2788753
Dsm kinachotakiwa kufanyika now labda iongeze eneo la kiutawa kwa kuchukua maeneo ya jilan na pwan ili kuongeza uwekezaji maana viwanda ving vpo pwan na gap na mikoan la kiuchumi limeanza kupungua kutokana na kuimarika kwa miundombinuDuniani kote coastal cities huwa zinachangia sana uchumi wa nchi na ndipo miji mikubwa ya kibiashara ilipo na wawekezaji hupendelea kuwekeza kwa sababu ya uwepo wa bandari
Dar haitakuja kupigwa bao hata siku moja mkuu na hiyo mikoa uliyotaja
Ni kweli nahuyo jamaa dragon wa hapo makambako anauza sanaMakampuni yamesha liona Hilo yanaenda kwenye centre za biashara mara ya kwanza yalifuatwa dsm tuView attachment 2788745View attachment 2788743
Leta hoja mkuu acha porojoAcha bangi mkuu.
Ni kwa sababu hizo nchi mbili ulizotaja kwa maana ya USA na Nigeria ni federal states, kila state inajiamulia mambo yake na sheria kama state. Sisemi kuwa nakubaliana na mtoa hoja 100% hapana ila sera za nchi hii ni moja hakuna ushindani wa mji na mji kujitungia sheria kama USA ziko state kama Florida wana low tax huu ni mfano tu. Kwa hapa Dar itabaki kuwa Dar sababu kuu moja, Bandari, na Dar ilipendelewa sana kwa miaka mingi sana lakini hii hali inashift centralization inaondoka. Zamani ukitaka chochote hapa passport tu lazima Dar siku hizi hakuna. Dar airport imeshapitwa na Zanzibar na airport ya Dodoma ikiisha itachukuwa kidogo cha Dar lakini msumari wa mwisho kwa Dar bandari ikienda Bagamoyo itapunguza sana nguvu ya Dar na sababu ni kuwa Dar kodi ziko juu wafanyabiashara watafuata kodi ndogo ku maxmize faida haya yatakuja, miaka 10 au 20 au 50 lakini yanakuja kwa kasi wala sio siri. Hoja Dar ina watu wengi yes true lakini wakuja wengi na walikuja kufuata fursa za kiuchumi na wataondoka kufuata fursa za kiuchumi pia.New York haijawahi pitwa na Washington
Lagos haijawai pitwa na Abuja
Bandari ya Mombasa ndiyo inalisha viwanda vya Nairobi upande wa malighafiDuniani kote vipi kuhusu Mombasa na Nairobi nahiyo ndo tunaijua bado ambazo hatuzijui
Umeona wawekezaji bado wanapendelea maeneo yaliyo karibu na bandariDsm kinachotakiwa kufanyika now labda iongeze eneo la kiutawa kwa kuchukua maeneo ya jilan na pwan ili kuongeza uwekezaji maana viwanda ving vpo pwan na gap na mikoan la kiuchumi limeanza kupungua kutokana na kuimarika kwa miundombinu
Mkuu hatuangalii majengo ya marefu ya sehemu husika tunaangalia uchumi wa eneo Zima either iwe mkoa au Jimbo au nchi Kwa pale marekani sehemu inachangia maendeleo makubwa ya marekani ni CaliforniaThere is no success like dar success.
Hata kule states miji kibao imeendelee ila hakuna NEW YORK CITY itabaki kuwa hivyo.
Wa kwanza ni WA kwanza tu.
Sio swala la majengo Wala miundombinu.Mkuu hatuangalii majengo ya marefu ya sehemu husika tunaangalia uchumi wa eneo Zima either iwe mkoa au Jimbo au nchi Kwa pale marekani sehemu inachangia maendeleo makubwa ya marekani ni California
California ni jimbo. Ndani yake Kuna miji kadhaa Sasa wakifanya commulative Wealth ndio inakuwa juu.Mkuu hatuangalii majengo ya marefu ya sehemu husika tunaangalia uchumi wa eneo Zima either iwe mkoa au Jimbo au nchi Kwa pale marekani sehemu inachangia maendeleo makubwa ya marekani ni California
Kwa hiyo vipi Mombasa imeendelea kuliko Nairobi?Bandari ya Mombasa ndiyo inalisha viwanda vya Nairobi upande wa malighafi
Na bado wanaendelea kumiminika Kwa wingi sana Kwa njombe Kambi Yao kubwa ni mtwango hawajamaa hawafaii wakiingia sehemu wanapaendeleza sio mchezo jana.Viwanda vya plywood vya wachina vilivyopo mkoa wa iringa na njombe Saiz wawekezaji wanaenda kuwekeza moja kwa moja eneo ambalo material yanapatikana
View attachment 2788751View attachment 2788753
Mombasa Inafuata baada ya Nairobi na hiyo ni kwa sababu ya historical backgroundKwa hiyo vipi Mombasa imeendelea kuliko Nairobi?