Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,077
- 7,146
Mkuu mtoto mbaya ni yupi? Naona maswali mengi hivyoUmejuaje kua wewe ni mtoto mzuri? umetumia vigezo gani kujitambua kua wewe ni mzuri? wewe ni mzuri kwa kulinganishwa na nani?
Mkuu mtoto mbaya ni yupi? Naona maswali mengi hivyoUmejuaje kua wewe ni mtoto mzuri? umetumia vigezo gani kujitambua kua wewe ni mzuri? wewe ni mzuri kwa kulinganishwa na nani?
AsanteInatangulia fursa anakuja mwanaume hao watoto wazuri wanaenda ku kumpoza mwanaume Kwa hiyo nyie watoto hafwati hapo zinafwata fursa
Jibu kwanza maswali niliyokuuliza kisha tuendelee.Mkuu mtoto mbaya ni yupi? Naona maswali mengi hivyo
"Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi" .Sijasemea dodoma itaipita dar Bali dodoma itapunguza makali ya dar hivyo inaweza pitwa na mikoa mingine ambayo inaifukuzia
karibu mremboSana,na bado tunakuja
Mengine siasa tu mzee,mimi nimekaa Mtwara kidogo,Songea ,Njombe,Mbeya na Iringa na pia Dar nimezaliwa hapa mpaka leo nakuhakikishia wakati Dodoma itakuja kua Dar ya leo basi jua Dar itakua mara 50 mbele ya hiyo Dodoma.Umeona statistics za iringa mkuu
Bado bwana mdogo huyo, hamna anachokijua zaid ya story za vijiweni.Mengine siasa tu mzee,mimi nimekaa Mtwara kidogo,Songea ,Njombe,Mbeya na Iringa na pia Dar nimezaliwa hapa mpaka leo nakuhakikishia wakati Dodoma itakuja kua Dar ya leo basi jua Dar itakua mara 50 mbele ya hiyo Dodoma.
Siasa? Hafu sijasema Dodoma itaipita dar ila inapunguza makali ya dar nakufanya iwe rahisi kupitwa na mikoa inayo ikimbizaMengine siasa tu mzee,mimi nimekaa Mtwara kidogo,Songea ,Njombe,Mbeya na Iringa na pia Dar nimezaliwa hapa mpaka leo nakuhakikishia wakati Dodoma itakuja kua Dar ya leo basi jua Dar itakua mara 50 mbele ya hiyo Dodoma.
Barikiwa sana Bosskaribu mrembo
Basi sahihisha maelezo yako na heading ya uzi.Siasa? Hafu sijasema Dodoma itaipita dar ila inapunguza makali ya dar nakufanya iwe rahisi kupitwa na mikoa inayo ikimbiza
amenBarikiwa sana Boss
Mkuu yaani mikoani kwenye suala la fursa bado sana. Fursa ndizo zinazofanya mji kukua ,sasa mfano unaenda kwenye mkoa( kijiji) unachokaa wewe mfanyakazi wa serikali ndo boss hapo unadhani utafanya biashara gani maana hakuna wanunuzi wote wanategemea msimu na raia wapo taabani.Bado bwana mdogo huyo, hamna anachokijua zaid ya story za vijiweni.
Hali ya hewa ya Dodoma peke yake ni kichapo, mtu unapauka kama mdudu sometimes! Waliojiwekeza Dar toka mkoloni hawakukosea, sema ndio hivyo tena, kunavigezo waliona (kimtazamo wangu lakini), ndiyo maana mji huu umeendelea kdg. Dar ukidondoka tu, wiki mbili nyingi, unatakata!
Karibu na kwenuKumbe Kuna biashara
Haya mwenzangu wewe unauzia wapi?
Mkuu sio hamna fursa mkuu Nia akili. Wabongo wengi wanaonaga fursa kubwa ni biashara za uchuuzi ambazo nyingi hutumia akili kidogo na mtaji mkumbwa pia hutegemea idadi kubwa ya watu. Lakini fursa zenye kutumia akili kama Mashamba makubwa na viwanda vidogo vidogo vinategemea sana malighafi wa huwa wanakujaga baadae. Mbona wazuungu, wachina saizi hata wakenya wanagombania huku mkoani.Mkuu yaani mikoani kwenye suala la fursa bado sana. Fursa ndizo zinazofanya mji kukua ,sasa mfano unaenda kwenye mkoa( kijiji) unachokaa wewe mfanyakazi wa serikali ndo boss hapo unadhani utafanya biashara gani maana hakuna wanunuzi wote wanategemea msimu na raia wapo taabani.
Utajua tusijui