Hivi yupi bora kati ya wawili hawa? Magufuli PhD holder lkn kingereza F, Mbowe kingereza A form six.

dux limit

Senior Member
Jul 28, 2015
143
55
Nimeona kuna mvutano mkubwa sana juu ya umuhimu wa kingereza na kiswahili kwa viongozi wetu wa kitaifa, lkn kuna mada tena ilikuwepo sana kipindi cha nyuma kwamba mtu mwenye elimu ya kidato cha sita hastahili kuongoza chama kilicho na wasomi ndani wa viwango tofauti kuanzia darasa la wengi (sekondari za kata) hadi maprofesa (Baregu - Said Arfi).
Lakini hii mada ilikuwa na ukinzani toka upande wa pili nao wakihoji ni vipi chama kiongozwe na Dr. wa kutunukiwa kama zawadi (kupewa bila kuivujia jasho elimu, ktk mpira ungeweza sema points za mezani pasipo onyesha juhudi ama uwezo wako dhidi ya wengine) na tena kikiwa na Katibu mkuu mwenye elimu darasa la wengi Yusuph Makamba ilihali chama kina wasomi wenye elimu kubwa tena lukiki kuanzia maprofesa hadi hapa na pale(Mark Mwandosya - Lusinde, maji marefu).....?
Maana kwa vijana ni muhimu tukaelewa kipi ni bora, kwani kuna baadhi ya vijana wamekosa kazi kisa kingereza ktk usahili (interview) na wamechukuliwa watu wenye uwezo wa kuzungumza kingereza!
Na sasa wameanza kutokea watu wakiilinganisha Tanzania na nchi hadi zenye uchumi wa juu na kura ya turufu ktk maamuzi ya dunia (Russia na China) kwamba mbn zinatumia lugha zao na zimefanikiwa, pasipo kujua nchi zile na Tanzania kuna utofauti mkubwa sana...! Nawasilisha.
 
Hivi mtu mwenye busara zako swali kama hili unauliza ili likusaidie nini hasa?
 
Sasa huyo kikwete mwenye elimu na kiingereza kizuri nchi aliiweka wapi jamani tuwe tunafikiria magufuli ni rais tu tena mwenye uchungu na wananchi wake pia mwenye hofu ya mungu
 
Nimeona kuna mvutano mkubwa sana juu ya umuhimu wa kingereza na kiswahili kwa viongozi wetu wa kitaifa, lkn kuna mada tena ilikuwepo sana kipindi cha nyuma kwamba mtu mwenye elimu ya kidato cha sita hastahili kuongoza chama kilicho na wasomi ndani wa viwango tofauti kuanzia darasa la wengi (sekondari za kata) hadi maprofesa (Baregu - Said Arfi).
Lakini hii mada ilikuwa na ukinzani toka upande wa pili nao wakihoji ni vipi chama kiongozwe na Dr. wa kutunukiwa kama zawadi (kupewa bila kuivujia jasho elimu, ktk mpira ungeweza sema points za mezani pasipo onyesha juhudi ama uwezo wako dhidi ya wengine) na tena kikiwa na Katibu mkuu mwenye elimu darasa la wengi Yusuph Makamba ilihali chama kina wasomi wenye elimu kubwa tena lukiki kuanzia maprofesa hadi hapa na pale(Mark Mwandosya - Lusinde, maji marefu).....?
Maana kwa vijana ni muhimu tukaelewa kipi ni bora, kwani kuna baadhi ya vijana wamekosa kazi kisa kingereza ktk usahili (interview) na wamechukuliwa watu wenye uwezo wa kuzungumza kingereza!
Na sasa wameanza kutokea watu wakiilinganisha Tanzania na nchi hadi zenye uchumi wa juu na kura ya turufu ktk maamuzi ya dunia (Russia na China) kwamba mbn zinatumia lugha zao na zimefanikiwa, pasipo kujua nchi zile na Tanzania kuna utofauti mkubwa sana...! Nawasilisha.
Ingependeza zaidi kama mada yako hii ungeileta huku ukitumia lugha ya kiingeleza,pili huwezi kumfanisha dj mbowe na magufuli hata kidogooo magufuli cyo kwamba hajui kiingeleza ila inawezekana akawa anamisamiati michache ya kiingeleza kwasababu hiyo ni lugha yake ya tatu pia ni msomi chemistry ambaye hajawahi kusoma nje ya nchi dj mbowe kiingeleza chake si cha shule ila ni kwasababu ameishi miaka mingi marekani.
 
Nimeona kuna mvutano mkubwa sana juu ya umuhimu wa kingereza na kiswahili kwa viongozi wetu wa kitaifa, lkn kuna mada tena ilikuwepo sana kipindi cha nyuma kwamba mtu mwenye elimu ya kidato cha sita hastahili kuongoza chama kilicho na wasomi ndani wa viwango tofauti kuanzia darasa la wengi (sekondari za kata) hadi maprofesa (Baregu - Said Arfi).
Lakini hii mada ilikuwa na ukinzani toka upande wa pili nao wakihoji ni vipi chama kiongozwe na Dr. wa kutunukiwa kama zawadi (kupewa bila kuivujia jasho elimu, ktk mpira ungeweza sema points za mezani pasipo onyesha juhudi ama uwezo wako dhidi ya wengine) na tena kikiwa na Katibu mkuu mwenye elimu darasa la wengi Yusuph Makamba ilihali chama kina wasomi wenye elimu kubwa tena lukiki kuanzia maprofesa hadi hapa na pale(Mark Mwandosya - Lusinde, maji marefu).....?
Maana kwa vijana ni muhimu tukaelewa kipi ni bora, kwani kuna baadhi ya vijana wamekosa kazi kisa kingereza ktk usahili (interview) na wamechukuliwa watu wenye uwezo wa kuzungumza kingereza!
Na sasa wameanza kutokea watu wakiilinganisha Tanzania na nchi hadi zenye uchumi wa juu na kura ya turufu ktk maamuzi ya dunia (Russia na China) kwamba mbn zinatumia lugha zao na zimefanikiwa, pasipo kujua nchi zile na Tanzania kuna utofauti mkubwa sana...! Nawasilisha.

Nadhani sasa ifike muda tujifunze kuwaheshimu Viongozi wetu hasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Hizi siasa za maji taka zisiondoe utu wetu wa kuheshimiana tulio nao Watanzania. Hivi fanikio la Kiongozi linatokana na kujua kwake kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha au kuwa tu Mtendaji mzuri anayesaidiwa na jopo la wataalam wa masuala mbalimbali? Hivi unajua kuwa Urais ni TAASISI hivyo dhihaka au kebehi yako kwa Rais wetu haimlengi tu Magufuli bali Watumishi wake wote wanaomzunguka na kumsaidia kazi zake. Marais Francois Hollande wa Ufaransa na Vladmir Putin wa Urusi wanajua hicho Kiingereza chako kukiongea kiufasaha? Je nchi zao zipoje katika maendeleo? Watanzania tuliwaona wengi tu wenye kujua hicho Kiingereza unachokipigania ( na ambacho nina uhakika usio na shaka kuwa hata wewe pia hukijui ) lakini tulimchagua Rais Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI aje atufanyie kazi na siyo atuzungumzie Kiingereza pale IKULU kwakuwa walikuwepo waliokuwa wakizungumza Kiingereza lakini wameifikisha nchi hapa ilipo sasa kwa upuuzi wao. Jifunze kuheshimu MAMLAKA!
 
Nadhani sasa ifike muda tujifunze kuwaheshimu Viongozi wetu hasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Hizi siasa za maji taka zisiondoe utu wetu wa kuheshimiana tulio nao Watanzania. Hivi fanikio la Kiongozi linatokana na kujua kwake kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha au kuwa tu Mtendaji mzuri anayesaidiwa na jopo la wataalam wa masuala mbalimbali? Hivi unajua kuwa Urais ni TAASISI hivyo dhihaka au kebehi yako kwa Rais wetu haimlengi tu Magufuli bali Watumishi wake wote wanaomzunguka na kumsaidia kazi zake. Marais Francois Hollande wa Ufaransa na Vladmir Putin wa Urusi wanajua hicho Kiingereza chako kukiongea kiufasaha? Je nchi zao zipoje katika maendeleo? Watanzania tuliwaona wengi tu wenye kujua hicho Kiingereza unachokipigania ( na ambacho nina uhakika usio na shaka kuwa hata wewe pia hukijui ) lakini tulimchagua Rais Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI aje atufanyie kazi na siyo atuzungumzie Kiingereza pale IKULU kwakuwa walikuwepo waliokuwa wakizungumza Kiingereza lakini wameifikisha nchi hapa ilipo sasa kwa upuuzi wao. Jifunze kuheshimu MAMLAKA!
Excellent piece mkuu. Umesena yote tena kwa ufasaha uliotukuka nikitumia msamiati wako.
 
Gentamacyne acha kukurupuka na kutumia akili zifikiriazo kwa kutegemea uji wa mgonjwa endapo atagoma kunywa..., umeulizwa kipi ni bora ama yupi ni zaidi kati ya hao lkn wewe unakuja na akili zenye utindio vinja.
 
Back
Top Bottom