GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Endeleeni tu kutufanya Mangumbaru ( Wajinga ) na Wapumbavu ( Mapopoma ) kwa kila mara kutufanyia Maigizo yenu wakati tunajua kuwa mnataka kumuachia ila kwakuwa mmeshajua kuwa ana Hoja nzito, mlimuonea hivyo sasa mnatafuta Mazingira ya Kumuachia ili yaishe na msionekane kama mlikuwa mnamkomoa tu.
Hebu muachieni tu Huru upesi ili tupumzike na Maigizo yenu na kama Taifa tuweze kuendelea na mengineyo mengi.
Hebu muachieni tu Huru upesi ili tupumzike na Maigizo yenu na kama Taifa tuweze kuendelea na mengineyo mengi.